jamani mtu kama huyu utakuta active part ni moja na kama zikiwa zote mbili basi kuna itakayo kuwa weak kuliko mwenzie.pupils zote mbili haziwez kuwa na the same efficiency. but kazi ya kuona iko kama tu ya jicho la kawaida siyo kwamba usiku atakuwa anaona la hasha kwani rods na cons ziko na specific jobs.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.