Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,534
- 8,619
Hapa uwanjani sherehe zinaendelea lakini sherehe hazijafana sana na pia watu wananongona kukosekana kwa waziri mkuu pinda,rais mstaafu mkapa,mawaziri wakuu wastaafu na mke wa rais mama salma kikwete.....