kinacho sikititisha ni kwamba badala ya viongozi wetu kutoa michango yakuleta maendeleo katika nchi wanatumimia pesa kunywesha watu wenye uwezo pombe na vyakula wakati tuna mamilioni ya watu wanaokufa njaa. hizi nitabia za kifahari na za ubinafsi. harusi ni kitu private you don't have to invite the whole world hata anaeolewa hajui nani anaoa au kuolewa hapa.
Angalieni vizuri nani fisadi hapa waliokwenda jela ambao hata hawasikiki tena? Au waliopona jela na bado wanajichana kwa kuwa wao ndio wenye nchi. Tanzania haitendi haki. hii inaonyesha walioitwa mafisadi kama ni kweli walikula wenyewe waliopona wanajuana. Kuharibiana sifa tu. Tanzania siasa bado kabisa hakuna sera kikubwa ni ufisadi tu kwakuwa waafrika wote wanapenda kula hakuna hata mmoja nafuu.
Angalieni vizuri nani fisadi hapa waliokwenda jela ambao hata hawasikiki tena? Au waliopona jela na bado wanajichana kwa kuwa wao ndio wenye nchi. Tanzania haitendi haki. hii inaonyesha walioitwa mafisadi kama ni kweli walikula wenyewe waliopona wanajuana. Kuharibiana sifa tu. Tanzania siasa bado kabisa hakuna sera kikubwa ni ufisadi tu kwakuwa waafrika wote wanapenda kula hakuna hata mmoja nafuu.