- Thread starter
- #21
Ni mpambano hasa.Tunaamini yeyote atakayeshinda ni hazinaBavicha hapatoshi !
Ni mpambano hasa.Tunaamini yeyote atakayeshinda ni hazinaBavicha hapatoshi !
Usijihangaishe kujibizana na yuleSumaye na Mwambe ni CDM halisi?
Ha ha haaakumbe na wewe Chadema?
Pumzika ulale sidhani kama huu mjadala utakusaidiaMbowe ni Mwenyekiti wa Maisha wa chadomo.
Mbowe Oyeeeeeee
Magufuli aligombea, Membe, Lowasa, January Makamba etcMagufuli aligombea na nani nafasi ha mwenyekiti wa CCM? Au aliteuliwa?
kumbe na wewe Chadema?
Mdude ana elimu gani? Lusako naona amepoa sana! Hana zile amsha amsha kama za Heche na SosopiBavicha hapatoshi !
Tumechagua mapandikizi tumeacha chadema halisi
Kina watu wakiona au kusikia jina la TL ukichaa unawapanda kichwaniTundu Lisu nafasi ya makamu mwenyekiti hatoboi piga us siweki sababu wazi
Pole sana.Subiria maumivu mkuuTundu Lisu nafasi ya makamu mwenyekiti hatoboi piga us siweki sababu wazi
Ha Ha HaaaKina watu wakiona au kusikia jina la TL ukichaa unawapanda kichwani
magu aligombea, Membe, Lowas, January Makamba etc
Mkuu naona umeweka msisitizoKula tano mwanangu, hapo umeongea kibingwa. Na huyo Mashinji apigwe chini haraka sana maana baadhi ya watu wanaoweka giza hapo cdm ni yeye.
Unaota au unaoteshwa?magu aligombea, Membe, Lowas, January Makamba etc
Hao uliowataja waligombea uenyekiti wa CCM?magu aligombea, Membe, Lowas, January Makamba etc
Umeumia sana mapandikizi kukatwa?Tumechagua mapandikizi tumeacha chadema halisi
Hata sijui anawaza niniUnaota au unaoteshwa?
Mkuu naona umeweka msisitizo