Jembe Jembe
JF-Expert Member
- Jun 9, 2016
- 757
- 1,822
Wakurugenzi wa Mgodi wa madini wa Tanzanite One uliopo Mererani wilayani Simanjiro,Mkoa wa Manyara ,Husein Gonga na mwenzake Faisal Shabhal wanashikiliwa na polisi jijini Arusha Tangu Aprili 16 mwaka huu katika mahabusu ya Utalii.
Kushikiliwa kwa wakurugenzi hao akiwemo mfanyakazi wao kumetokana na kikosi maalumu (Taskforce) kikichoundwa na serikali kutua jijini Arusha kwa ajili ya kuchunguza masuala yanayodaiwa kuhusiana na biashara ya madini .
Hata hivyo taarifa kamili za kushikiliwa kwa vigogo hao bado hazijatolewa rasmi.
Kushikiliwa kwa wakurugenzi hao akiwemo mfanyakazi wao kumetokana na kikosi maalumu (Taskforce) kikichoundwa na serikali kutua jijini Arusha kwa ajili ya kuchunguza masuala yanayodaiwa kuhusiana na biashara ya madini .
Hata hivyo taarifa kamili za kushikiliwa kwa vigogo hao bado hazijatolewa rasmi.