Mzee wangu MK, kwani unaamini kwamba watu hawa wametolewa kwa ubadhirifu?? Come on jamani Malegesi aibe hivyo vimilioni vya nini wakati alikuwa mtu wa karibu na Balali na amepata kule jikoni kwenyewe???
Baada ya aibu ya NEC kutokufanya chochote, wameibua viporo vya news za mwaka jana. Hawa watu walishafukuzwa kitambo.