Vigogo Mashuhuri wajitoa CUF

Vigogo Mashuhuri wajitoa CUF

Wapi Topical,Mpemba Mbishi,Jesuit,Mwiba wa Katani and others?
Tunataka kusikia neno moja tu kutoka kwenu....RIP CUF
 
Maalim seif anatakiwa kutoka mafichoni kuokoa chama. Naona ukimya wake na huu mwendelezo wa kujitoa kwa wanachama hautakiwi kuachwa bila ufumbuzi. Kufikia 2015 chama cha CUF kinaweza kisiwepo tena.

Nasikia wanamsubiri Lipumba aje mwezi ujao kuokoa chama
 
nini mustakabali wao kisiasa au wameamua kuachana na siasa kabisa!! CUF is a dying horse!!it kicks very hard!!

Inavyoonekana wanataka kumfuata Hamad Rashid atakakoelekea
 
Mtatiro mapovu yanazidi kumtoka,hongereni kwa kujitoa CCM B ila mnafuata Hamad kwenye chama chake kipya.

Mtatiro ni miongoni mwa watu watakaosababisha CUF kuzikwa.
 
Wapi Mangi Masta?
Wapi Topical?
Wapi Mpemba Mbishi?
Wapi Jesuit?...............RIP CUF
 
Viongozi mashuhuri wa CUF wamejitoa katika chama hicho leo.Viongozi hao ni aliyekuwa meneja kampeni wa Urais wa Lipumba Bw Said Miraji na aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo la Temeke kupitia CUF Bw Kadawi Lucas Limbu.Viongozi hao kwa pamoja wamesema wanajitoa CUF rasmi leo kutokana na vurugu kubwa zinazoendelea ndani ya chama hicho na pia wasingependa kuona chama hicho kikizikwa wakiwa bado wanachama.SOURCE: CHANEL TEN

Hapo cuf kinakufa na wao wanakufa kisiasa inakuwa ngoma droo
 
Masahihisho kidogo, ni Kadawi Lucas Limbu, aliyegombea Temeke.
Lakini bado utamsikia mtatiro akijibodoa kwamba bora wameondoka wenyewe kwakuwa baraza kuu lilikuwa na mpango wa kuwafukuza.
Ukimsikiliza ismail justa atakwambia hao ni wakristo ndio sababu wameamua kujiengua!

Cuf kinakwenda kaburini, la sivyo maalim seif aachie ngazi kama anakipenda chama chake!

Tatizo kubwa ni cuf kukubali kushirikiana na ccm ukishashirikiana na ccm kamwe huwezi dumu
 
Back
Top Bottom