RockSpider
JF-Expert Member
- Feb 16, 2014
- 6,859
- 2,758
...Hakuna kesi hapo! Wakipata Mwanasheria Makini Watalipwa fidia ya kutosha! .... Mkuu wa Chuo yuko entitled kupewa Nyumba ya kuishi yeye na familia yake! Kama Mkuu wa Chuo anastahili kuwa na Umeme wa Uhakika, well wamemfungia Solar Power badala ya Generator kosa liko wapi? ... TAKUKURU wanaacha 200 Billions wanakimbilia milioni 6 kwa watu kumi ? Grrrrr ! Nijuavyo mimi hizo panels ni ndogo sana .... AIBU!!