Kalunguine
JF-Expert Member
- Jul 27, 2010
- 2,543
- 134
Kama ni mchezo ni"piga ni kupge" wanahaki ya kutumia demokrasia.
we pambana na HABARILEO sio mimi,nimetimiza wajibu juu ya kuhabarishana yaliyobaki ni wewe na mwandishi na sio mweka post
Umekosa kazi ya kufanya unaleta upupu hapa
Tunapambana na wewe kwanza mleta upupu jamvini
Kuna thread hapa inayohoji wana CDM Kuwa wakali mnapoambiwa utumbo wa chama chenu. Tena mkataka ushahidi mkihoji wapi mmekuwa wakali.. Hapa mtu kapost tu, tena habari ya kweli. Watu wamecharuka na kutoa mapovu. Duh, wapenda amani tunaanza kupata hofu.
Hao ndo wamerudi kwao, walikua wanafanya kazi ya CCM ndani ya CDM walipoona mambo magumu wameamua kurudi. .....by the way, hivi kila mwanachama ni kigogo? Maana hao jamaa hata siku moja sijawasikia. Sidhani hata kama wamewahi kuwa madiwani.
wanapenda kula wali na nyama tu,siku wakisikia kuna wali na mrenda hawali chakula na hawataki hata kuhoji kwanini ni wali na mrenda
Ukigogo una ngazi mkuu lazima muelewe! Kuna vigogo wa ngazi ya Taifa, vigogo wa ngazi ya Wiliya, vigogo wa ngazi ya Tarafa, Kata na Tawi. Hata balozi wa nyumba kumi ni kigogo wa eneo lake la utawala.
neno vigogo linatumika ndivyo sivyo
Nyie wote wawili ni engine nyuma, lazima muwe na mitazamo sawa. You looks stupid. Hovyooo...Bado tunahitaji elimu,hususani ktk maneno kama haya ya kisiasa
thanks kwa elimu hii
kwani kigogo ni nani haswa?
We ni mpenda amani au mjinga!!wanapenda kula wali na nyama tu,siku wakisikia kuna wali na mrenda hawali chakula na hawataki hata kuhoji kwanini ni wali na mrenda
ni vyema mkafuatilia na kujuwa nini tatizo,kuliko kupiga kelele bila kuweka mambo sawa,