tehetehetehe mmmmh! chadema ni chama makini???? aibu hii kwa wana magwanda!
Inaweza kuwa c kutoipenda CDM bali ukanjanja wa mwandishi na mhariri wake. tasnia ya habari/uandishi sasa hivi inavamiwa sana,kuna vyuo lukuki vimeibuka vya "uandishi wa habari" vinaibua shaka/doubt na ubora wao
tehetehetehe mmmmh! chadema ni chama makini???? aibu hii kwa wana magwanda!
naaanza kuogopa na cv za wengineo ! hebu niambie Kikutwa chaKaya nae alikuwa ... Luhanjo... eh na mizengwe ... juha hilo...!Wakati mwingine sisi ni wepesi kulaumu tu waandishi, vipi mfumo na sera ya habari inatoa nafasi kuwa na wandishi wenye sifa? Kwa mfano habariLEO ni gazeti la serikali ambalo lilipaswa kuwa mfano kwa media zingine, but ndiyo kamapuni yenye waandishi ambao hanawana taaluma
Mfano aliyeandikia habari hiyo John Mhala ni STD seven alikuwa porter safari hoteli zamani akajiingiza kwenye uandishi miaka ile ya 1990 kwa hiyo huwezi tarajia atafuata maadili wakati hana hata basic knowledge ya journalism
kwa sababu ni mfuasi wake na ni mwanafunzi wake kifikra acheni utotoNaanza kuamini maneno ya Zombe.
KOSA MALI PATA AKILI hujachelewa mwombe Mungu akujalie Hekima na Busara nawe .............................Duuh!!!!! Siamini macho yangu; mimi nilikuwa sijui kwa nini CHADEMA wanavaa magwanda; kumbe moja ya kazi ya magwanda hayo ni kwa baadhi ya wanachama kuyatumia kwa kufanya ujambazi. Hii imewatia doa; inabidi mjitakase