Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,242
- 34,917
- Thread starter
- #21
Mkuu ni sawa na nzi aliyeona kinyesi lazima aruke ruke tuCcm sawa na mtu mchafu anayevunja kioo kisa kimemuonyesha uchafu badala ya kuwashukuru wapinzani wanaanza kugombana nao