Kama ni tatizo linaongelewa kwa utaratibu, sasa ukishajiunga na hao waasi? Au ndio kuanza kukimbizana wakati nchi ni yetu, tunatoa hoja kisomi hata kama tumechoka, ingekua vyema tupate ufafanuzi. Au chombo husika kutupa ufafanuzi wa swala hilo.
Ajira nitapata wapi kwa stahili hii wakat vigezo vyenyewe ndo hivyo? Na sis graduates tunapenda kutumikia hizo Idara, wanatubana ili waweke watoto wao waliofeli jambo ambalo sio zuri katika ujenz wa Taifa ambalo linahitaji wasomi ili liwe na maendeleo.
Majeshi uliyoyataja yanapohitaji professionals fulani fulani huwa wanawapata kwa utaratibu wanaoujua wenyewe, usifikiri kwenda JKT na degree yako ya History ndio tiketi ya kuingia JWTZ au kwingineko jiulize inahitajika jeshini? Mbona polisi kwa mfano wanaajiri graduates kila mwaka, wale wanapitia JKT? Kuweni makini, msije kuforce kuingia huko mkapoteza time tu.[/QUOTE
Jaribu kufuatilia mara ya mwisho JWTZ wamechukua graduates asee ni muda kidogo, majeshi mengine yana ajiri direct + ma service man toka JKT, JWTZ wanawachukua vijana toka JKT tuuuu, wengine sio kuteseka ni kutu mtu uli dream of, Ushawahi kutamani kua mtu flan alafu ukaona ndoto hazitimii, MM sijamaliza chuo bt kwa huo mtindo sioni kama nitafika ninapopataka, bt nikishindwa sio mbaya najua siwez kosa kaz milele ila nitakosa kazi ninayoitaka.
Wakuu Mtuijuze nafasi zinatoka lini? Hata kama hakueleweki nibora nijaribu tu!
Nafasi zimeshatoka,watu wameshapewa barua ya kureport kambini.wanareport mwezi wa 12
Kwa mujibu wa nani maana tuko na watu wa jikoni hapa wanajua kila kitu wewe unawarusha roho vijana kwa mantiki ganii??
Mimi sibishani,na why niwarushe roho??nimeshuhudia barua kwa macho yangu,mshkaji wangu kaambiwa akareport 841 kj kigoma.endelea kuwaamini hao watu wa jikoni mkuu
Au mkuu labda unaongelea wale wa kwa mujibu.?