Vigamuzi vya TV na matumizi yake ya umeme.

Zero Hours

JF-Expert Member
Apr 1, 2011
12,944
18,654
Wadau habari zenu!
Hii mada ni kutaka kufahamishana juu ya matumizi ya umeme wa vigamuzi vya tv hasa vinavyotumia madishi.

Kwa udadisi niliofanya hivi sasa kwa kingamuzi za DSTV, nimeprove kuwa kinakula umeme tena sana.

Hivi ndivyo nilivyokuja kugundua:
Mwezi june matumizi yangu ya umeme yalikuwa ni unit 28 ( 10,000tsh)+ 14 units ( 5000). Maana yake, nilitumia unit 42 ambazo gharama zake ni elfu 15,000. Mwezi june sikununua kifurushi cha dstv, hivyo bac sikutumia kingamuzi.

Vifaa vyangu vya umeme navyotumia mara kwa mara ni fridge ( mid size), Tv ( 49inch), sony home theatre ( 1000w), kingamuzi cha dstv, juicer na laptop.

Mwez july nilinunua kingamuzi ila cha kushangaza matumizi ya umeme yakawa almost doubled. Mwez july nilitumia units 68. Huu ni umeme wa 25,000

Hii nimefatilia hata miezi ya nyuma na nikagundua inawezekana kingamuz kikawa kinatumia umeme sasa maana miez ambayo situmii huwa silipi zaid ya 15,000 ila nikilipia dstv huwa natumia mpaka 30000 kwa mwezi.

Sijafanya conclusion ya kitaalamu ila ningependa wataalamu tujuzane juu ya matumizi ya umeme wa hivi vingamuzi. Mi naona kwa dstv inakula umeme sana.

Update.
Mpaka sasa nilichogundua ni kuwa kingamuzi pia hula umeme ule ule kinapokuwa kwenye standby mode. Yan inatakiwa kama hakitumiki kizimwe kabisa. Kinapokuwa standby, maana yake kinapokea signal ambavyo inaendelea kula umeme.

Satellite decoders consume even more power. Researchers found thatdecoders use from 11 to 21 watts while switched on and from 11 to 18 watts while switched off – which means satellite decoders use around 130 kWh per year.

#DidYouKnow: TV decoder is your home's second biggest electricity ...
 
Ukinunua kifurushi lazima utaangalia tv muda mrefu kuliko ukiwa huna kifurushi, hivyo factor siyo king'amuzi. Ni matumizi tu yanayotokana na kuangalia tv mufa mrefu
Wadau habari zenu!
Hii mada ni kutaka kufahamishana juu ya matumizi ya umeme wa vigamuzi vya tv hasa vinavyotumia madishi.

Kwa udadisi niliofanya hivi sasa kwa kingamuzi za DSTV, nimeprove kuwa kinakula umeme tena sana.

Hivi ndivyo nilivyokuja kugundua:
Mwezi june matumizi yangu ya umeme yalikuwa ni unit 28 ( 10,000tsh)+ 19 units ( 5000). Maana yake, nilitumia unit 47 ambazo gharama zake ni elfu 15,000. Mwezi june sikununua kifurushi cha dstv, hivyo bac sikutumia kingamuzi.

Vifaa vyangu vya umeme navyotumia mara kwa mara ni fridge ( mid size), Tv ( 49inch), sony home theatre ( 1000w), kingamuzi cha dstv, juicer na laptop.

Mwez july nilinunua kingamuzi ila cha kushangaza matumizi ya umeme yakawa almost doubled. Mwez july nilitumia units 68. Huu ni umeme wa 25,000

Hii nimefatilia hata miezi ya nyuma na nikagundua inawezekana kingamuz kikawa kinatumia umeme sasa maana miez ambayo situmii huwa silipi zaid ya 15,000 ila nikilipia dstv huwa natumia mpaka 30000 kwa mwezi.

Sijafanya conclusion ya kitaalamu ila ningependa wataalamu tujuzane juu ya matumizi ya umeme wa hivi vingamuzi. Mi naona kwa dstv inakula umeme sana.
 
Blaza TV ndo inakula umeme hio ingawa hujatuambia kwamba hio TV ni Smart au ni Plasma maana Plasma zenyewe zinatumia umeme mwingi sana ila ukinunua umeme wa 10,000 unapata Units 28 na ukinunua umeme wa 5000 unapata units 14 = 42 kwaio hio hesabu yako ya umeme wa 5000 units 19 umeipata vipi? Pia ili rekodi iweze kua sawa utuambie friji unawasha masaa mangapi, Tv masaa mangapi, hio home theatre masaa mangapi pia
 
Angalia hicho kisimbusi kwenye maelezo yake nyuma hakuna Power yake ? soma ni watts ngapi.., inawezekana unaangalia TV unakesha huku umewasha taa ambayo nayo kama sio energy saver inaweza ikawa inakula maradufu.., kwahio the only sure way cheki vizuri kwa nyuma kunakuwa kuna power consumption imeanidikwa.., ingawa pia huenda chombo au vyombo vyako ni vibovu thus vinakula umeme kuliko kawaida..

Unit moja ni 1000kwh; kwahio kama una jug la watts 1000; unaweza kuliwasha hilo jug kwa lisaa zima ili kumaliza 1 unit;

Ingawa taa zinaweza kuwa ni 10watts ila huenda unazo kumi na ukiwa home zote zinawaka hauzizimi that is 1000watts sasa kama kila siku unaangalia masaa matano utakuta kwamba siku mbili utamaliza unit kwa upande wa taa tu..., ingawa jug linakula umeme zaidi ila kwa mwezi unaliwasha sio zaidi ya robo saa.., nadhani unanielewa kuhusu hizi magazijuto.....
 
King'amuzi hakili umeme na ndio maana vina adapta ili kuchuja umeme hadi uwe mdogo sana ndio uingie katika king'amuzi
Inawezekana TV yako ndio inakula na pia inawezekana kwa sasa unawashaa TV kwa mda mwingi kwa sababu una king'amuzi kipya
 
unataka kuwaharibia dstv tu, mbona mimi natumia king'amuzi cha dstv na sijawahi kukizima, huwa nazima tv tu lakini umeme natumia wa 15k kwa mwezi
 
Dogo ana research za kijinga.
Nisipolipia DStv umeme kidogo
Nikinunua kifurushi cha DStv umeme mwingi. Ni kweli.
Ukiwa na kifurushi utafanya yafuatayo.
Utaangalia tiivii
Utawasha taa, feni
Utatengeneza kahawa
Utapoza juisi au beer
Utapika kwani siku hii mihimu kwako utakula nyumbani
 
Ukinunua kifurushi lazima utaangalia tv muda mrefu kuliko ukiwa huna kifurushi, hivyo factor siyo king'amuzi. Ni matumizi tu yanayotokana na kuangalia tv mufa mrefu
Kukiwa na kifurushi huwa siangalii tv muda mrefu. Mwez wa 6 nilkuwa likizo so nilikuwa nachek movies all day sababu nilkuwa na series za kutosha ndyo maana sikununua kifurushi.
 
Wadau habari zenu!
Hii mada ni kutaka kufahamishana juu ya matumizi ya umeme wa vigamuzi vya tv hasa vinavyotumia madishi.
Kwa udadisi niliofanya hivi sasa kwa kingamuzi za DSTV, nimeprove kuwa kinakula umeme tena sana.
Hivi ndivyo nilivyokuja kugundua:
Mwezi june matumizi yangu ya umeme yalikuwa ni unit 28 ( 10,000tsh)+ 19 units ( 5000). Maana yake, nilitumia unit 47 ambazo gharama zake ni elfu 15,000. Mwezi june sikununua kifurushi cha dstv, hivyo bac sikutumia kingamuzi.
Vifaa vyangu vya umeme navyotumia mara kwa mara ni fridge ( mid size), Tv ( 49inch), sony home theatre ( 1000w), kingamuzi cha dstv, juicer na laptop.
Mwez july nilinunua kingamuzi ila cha kushangaza matumizi ya umeme yakawa almost doubled. Mwez july nilitumia units 68. Huu ni umeme wa 25,000
Hii nimefatilia hata miezi ya nyuma na nikagundua inawezekana kingamuz kikawa kinatumia umeme sasa maana miez ambayo situmii huwa silipi zaid ya 15,000 ila nikilipia dstv huwa natumia mpaka 30000 kwa mwezi.
Sijafanya conclusion ya kitaalamu ila ningependa wataalamu tujuzane juu ya matumizi ya umeme wa hivi vingamuzi. Mi naona kwa dstv inakula umeme sana.

Hebu tuachane na hayo ya kula umeme, naomba mbinu ya kuwa napata unit 19 nikinunua umeme wa 5000/= maana naona unafaidi sana
 
Blaza TV ndo inakula umeme hio ingawa hujatuambia kwamba hio TV ni Smart au ni Plasma maana Plasma zenyewe zinatumia umeme mwingi sana ila ukinunua umeme wa 10,000 unapata Units 28 na ukinunua umeme wa 5000 unapata units 14 = 42 kwaio hio hesabu yako ya umeme wa 5000 units 19 umeipata vipi? Pia ili rekodi iweze kua sawa utuambie friji unawasha masaa mangapi, Tv masaa mangapi, hio home theatre masaa mangapi pia
Tv ni Lg 4k.

Apo nimejichanganya ni 14 badala ya 19.
Home theatre huwa inakuwa on muda wote Tv ikiwa ipo on. Matumiz ya fridge mwezi june yalikuwa makubwa zaid kuliko july coz nlkuwa nashinda nyumbani.
 
Dogo ana research za kijinga.
Nisipolipia DStv umeme kidogo
Nikinunua kifurushi cha DStv umeme mwingi. Ni kweli.
Ukiwa na kifurushi utafanya yafuatayo.
Utaangalia tiivii
Utawasha taa, feni
Utatengeneza kahawa
Utapoza juisi au beer
Utapika kwani siku hii mihimu kwako utakula nyumbani
Sikulipia kingamuz sababu nina cable pia mwez june nlkuwa likizo. Nilkuwa na movies na seriez za kutosha ambazo nilikuwa nmeandaa kutazama nikiwa likizo. June nimetumia tv kwa muda mrefu sana kuliko miezi mingine. Kitu kilichopungua katika matumizi mwezi june ni kingamuzi tu, lakini matumizi ya umeme yalishuka.
 
Angalia hicho kisimbusi kwenye maelezo yake nyuma hakuna Power yake ? soma ni watts ngapi.., inawezekana unaangalia TV unakesha huku umewasha taa ambayo nayo kama sio energy saver inaweza ikawa inakula maradufu.., kwahio the only sure way cheki vizuri kwa nyuma kunakuwa kuna power consumption imeanidikwa.., ingawa pia huenda chombo au vyombo vyako ni vibovu thus vinakula umeme kuliko kawaida..

Unit moja ni 1000kwh; kwahio kama una jug la watts 1000; unaweza kuliwasha hilo jug kwa lisaa zima ili kumaliza 1 unit;

Ingawa taa zinaweza kuwa ni 10watts ila huenda unazo kumi na ukiwa home zote zinawaka hauzizimi that is 1000watts sasa kama kila siku unaangalia masaa matano utakuta kwamba siku mbili utamaliza unit kwa upande wa taa tu..., ingawa jug linakula umeme zaidi ila kwa mwezi unaliwasha sio zaidi ya robo saa.., nadhani unanielewa kuhusu hizi magazijuto.....
Consider this too
Screenshot_20190817-230253_Samsung%20Internet.jpeg
 
Angalia hicho kisimbusi kwenye maelezo yake nyuma hakuna Power yake ? soma ni watts ngapi.., inawezekana unaangalia TV unakesha huku umewasha taa ambayo nayo kama sio energy saver inaweza ikawa inakula maradufu.., kwahio the only sure way cheki vizuri kwa nyuma kunakuwa kuna power consumption imeanidikwa.., ingawa pia huenda chombo au vyombo vyako ni vibovu thus vinakula umeme kuliko kawaida..

Unit moja ni 1000kwh; kwahio kama una jug la watts 1000; unaweza kuliwasha hilo jug kwa lisaa zima ili kumaliza 1 unit;

Ingawa taa zinaweza kuwa ni 10watts ila huenda unazo kumi na ukiwa home zote zinawaka hauzizimi that is 1000watts sasa kama kila siku unaangalia masaa matano utakuta kwamba siku mbili utamaliza unit kwa upande wa taa tu..., ingawa jug linakula umeme zaidi ila kwa mwezi unaliwasha sio zaidi ya robo saa.., nadhani unanielewa kuhusu hizi magazijuto.....
Hapa nina pasi imeandikwa low wattage na power: 300watts. Kwa hiyo kutokana na huo mfano wa jug ulioutoa ina maanisha pamoja na kujulikana kwamba pasi ni moja ya vifaa vya umeme vinavyokula sana umeme nikiitumia kwa kunyoosha nguo kwa masaa mawili mfululizo nitakuwa nimetumia watts 600 pekee (yaani 300w x masaa mawili) ambapo kwa bei ya 356/= kwa unit moja nitakuwa nimetumia kama 214/= pekee yake? Ikimaanisha pia kwamba kumaliza unit moja nitaweza kunyoosha mfululizo kwa masaa matatu na dakika 20. Naona kama gharama ya huo uwashaji wa pasi kwa masaa mawili ni ndogo sana.
 
Tv ni Lg 4k.

Apo nimejichanganya ni 14 badala ya 19.
Home theatre huwa inakuwa on muda wote Tv ikiwa ipo on. Matumiz ya fridge mwezi june yalikuwa makubwa zaid kuliko july coz nlkuwa nashinda nyumbani.
Hapo mkuu TV inatumia umeme yani ili uweze kujua king'amuzi kama ndo kinatumia umeme au la wewe washa king'amuzi pekee bila kiwasha TV au friji ndo tutajua siku ingine washa TV peke yake bila king'amuzi hapo ndo itaweza kupima kwa usahihi
 
Wadau habari zenu!
Hii mada ni kutaka kufahamishana juu ya matumizi ya umeme wa vigamuzi vya tv hasa vinavyotumia madishi.

Kwa udadisi niliofanya hivi sasa kwa kingamuzi za DSTV, nimeprove kuwa kinakula umeme tena sana.

Hivi ndivyo nilivyokuja kugundua:
Mwezi june matumizi yangu ya umeme yalikuwa ni unit 28 ( 10,000tsh)+ 14 units ( 5000). Maana yake, nilitumia unit 42 ambazo gharama zake ni elfu 15,000. Mwezi june sikununua kifurushi cha dstv, hivyo bac sikutumia kingamuzi.

Vifaa vyangu vya umeme navyotumia mara kwa mara ni fridge ( mid size), Tv ( 49inch), sony home theatre ( 1000w), kingamuzi cha dstv, juicer na laptop.

Mwez july nilinunua kingamuzi ila cha kushangaza matumizi ya umeme yakawa almost doubled. Mwez july nilitumia units 68. Huu ni umeme wa 25,000

Hii nimefatilia hata miezi ya nyuma na nikagundua inawezekana kingamuz kikawa kinatumia umeme sasa maana miez ambayo situmii huwa silipi zaid ya 15,000 ila nikilipia dstv huwa natumia mpaka 30000 kwa mwezi.

Sijafanya conclusion ya kitaalamu ila ningependa wataalamu tujuzane juu ya matumizi ya umeme wa hivi vingamuzi. Mi naona kwa dstv inakula umeme sana.

Update.
Mpaka sasa nilichogundua ni kuwa kingamuzi pia hula umeme ule ule kinapokuwa kwenye standby mode. Yan inatakiwa kama hakitumiki kizimwe kabisa. Kinapokuwa standby, maana yake kinapokea signal ambavyo inaendelea kula umeme.
Si kingámuzi tu hadi home theatre zinakula sana umeme,jaribu kutumia kingámuzi bila home theatre utaona umetumia unit kidogo
 
Sikulipia kingamuz sababu nina cable pia mwez june nlkuwa likizo. Nilkuwa na movies na seriez za kutosha ambazo nilikuwa nmeandaa kutazama nikiwa likizo. June nimetumia tv kwa muda mrefu sana kuliko miezi mingine. Kitu kilichopungua katika matumizi mwezi june ni kingamuzi tu, lakini matumizi ya umeme yalishuka.
Ni king'amuzi A.K.A Kisimbuzi
 
Back
Top Bottom