mama kubwa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 5,413
- 8,398
Tigo Kwa mwezi cha combo wameshusha toka GB 10 Hadi 6.5 GB.
Hata hizo GB 6.5 unaweza Kuta hazipo kiuhalisiaTigo Kwa mwezi cha combo wameshusha toka GB 10 Hadi 6.5 GB.
TTCL walivyo wajinga wameondoa like bando la PINDUA PINDUAserikali bila kuweka mtandao wao wa TTLc tutaendela kuteseka sana
daaaah yaaan ii ngoma imeanza leo ngoja kesho vifurush viwaisgie ndo tutaskiaMitandao ya simu nchini Tanzania hatimaye imepandisha vifurushi vyake kimyakimya bila kutoa taarifa kwa wateja wake.
Awali mitandao hiyo ilitangaza kubadilisha vifurushi lakini walighairi baada ya muda. Ila kwasasa wameamua kupandisha kimyakimya!
Vifurushi vilivyobadilika hasa ni vile vya intaneti ambapo mabando yamepunguzwa sana! Nafikiri Waziri mpya ameingia na kasi kubwa, yetu macho sasa
Wameweka 'Ofa yako' ambayo inaweza ikakubeba.Airtel nao wametoa night bundle shuain zao.
Yeah ni kweli kabisa.. Jana 5000 nimepata GB 3 tuuMitandao ya simu nchini Tanzania hatimaye imepandisha vifurushi vyake kimyakimya bila kutoa taarifa kwa wateja wake.
Awali mitandao hiyo ilitangaza kubadilisha vifurushi lakini walighairi baada ya muda. Ila kwasasa wameamua kupandisha kimyakimya!
Vifurushi vilivyobadilika hasa ni vile vya intaneti ambapo mabando yamepunguzwa sana! Nafikiri Waziri mpya ameingia na kasi kubwa, yetu macho sasa
Wameweka 'Ofa yako' ambayo inaweza ikakubeba.
Inayeyuka haraka kama barafuvoda gb 1 ni sawa na mb 500😅😅
Nadhani ni MB 300 mkuu sio 500 hiyo 2GB inakimbia kama hujaweka kitu na hapo unatumia kusoma sio kufungua fungua tatizo TCRA sijui wanafanya nini? Vitu vya msingi hutawasikia kujadili kabisaa kama haviwahusu.voda gb 1 ni sawa na mb 500
viongozi wetu ni kama vipofuu. wao wana pesa wanawafungia watoto wao wifi router analipia kwa mwezi sasa sisi wa vidumu sheli hawatuthaminNadhani ni MB 300 mkuu sio 500 hiyo 2GB inakimbia kama hujaweka kitu na hapo unatumia kusoma sio kufungua fungua tatizo TCRA sijui wanafanya nini? Vitu vya msingi hutawasikia kujadili kabisaa kama haviwahusu.
Inayeyuka haraka kama barafu
Siyo mchezo!!Tigo Kwa mwezi cha combo wameshusha toka GB 10 Hadi 6.5 GB.
dah!!Yaani ni kilio ,bank napo wameongeza gharama mfano nbc ukitaka kutoa milion moja maximum ni 200000 kwa Atm kwa hiyo utatoa mara tano ,huku airtel nikinunua bado la 10000 napata Gb 4 ndani ya siku 3 zinaisha ,sijui mwenda zake atarudiini ?