Vifurushi vya hospital @ BMC

mkwatis

JF-Expert Member
Nov 2, 2008
350
171
Kwa Vile Tumeshazoea Kulipa kwa VIFURUSHI,leo nimekutana na kifurushi katika hospitali ya Bugando kuwa Ukipewa kitanda inabidi ulipe 150,000/=(kama deposit na hii huisha/expire ndani ya siku 4)na ni NON REFUNDABLE,hata kama ukifa unapelekwa wodini na hujapata huduma ilhali tu ulishalipa!Baada ya kuuliza kwa kina nikapewa maelekezo kama ifuatavyo na Mhudumu mmoja cjui kama yuko sahihi kwa mchanganuo huo wa kifurushi!
-Admission cku 4,kila siku ni 7,000/=
-Drugs/Madawa ni 25,000/=
-Investigation ni 25,000/=
-Consumables/vifaa tiba 25,000/=
-Utilities,(Umeme na Maji)-17,000/=
-Ward Laundry ni 25,000/=

HOJA:Kwa kuwa wameanzisha mfumo wa kulipa kwa card(HOSPITAL PREPAID CARD) na kwa nini wasingekuwa wanakata malipo yao na kurejesha albaki,kama umetumia 100,000/= na kwa huduma ya siku 3, shilingi 50,000/=irejeshwe kwenye card yako?Hii si sahihi na kama sio jipu ni tambazi!
 
Kwa Vile Tumeshazoea Kulipa kwa VIFURUSHI,leo nimekutana na kifurushi katika hospitali ya Bugando kuwa Ukipewa kitanda inabidi ulipe 150,000/=(kama deposit na hii huisha/expire ndani ya siku 4)na ni NON REFUNDABLE,hata kama ukifa unapelekwa wodini na hujapata huduma ilhali tu ulishalipa!Baada ya kuuliza kwa kina nikapewa maelekezo kama ifuatavyo na Mhudumu mmoja cjui kama yuko sahihi kwa mchanganuo huo wa kifurushi!
-Admission cku 4,kila siku ni 7,000/=
-Drugs/Madawa ni 25,000/=
-Investigation ni 25,000/=
-Consumables/vifaa tiba 25,000/=
-Utilities,(Umeme na Maji)-17,000/=
-Ward Laundry ni 25,000/=

HOJA:Kwa kuwa wameanzisha mfumo wa kulipa kwa card(HOSPITAL PREPAID CARD) na kwa nini wasingekuwa wanakata malipo yao na kurejesha albaki,kama umetumia 100,000/= na kwa huduma ya siku 3, shilingi 50,000/=irejeshwe kwenye card yako?Hii si sahihi na kama sio jipu ni tambazi!
Wahusika Naibu Waziri wa Afya na Waziri wa Afya watalifuatilia Malalamiko yako Wahusika watashughulikiwa ipasavyo huo ni wizi wa kimacho macho.
 
Naona jipi la kirumi(Rome) limeiva
 

Attachments

  • 1451787442693.jpg
    1451787442693.jpg
    9.8 KB · Views: 40
Duh tunaelekea pabaya sasa, vifurushi hadi hospitali?o_O:(
Waimarishe bima sio huo utapeli
 
Hamna haja ya Kulalamika, dawa yake ni kwenda Hospitali za Serikali kutibiwa na sio kwenda kwenye Hospitali zinazomilikiwa na kuendeshwa na taasisi binafsi.
 
Naona jipi la kirumi(Rome) limeiva
Mkuu
Nimesema tangu Jana hapa haki haio ekani kutendeka. Nimelazwa siku sita ziliZopita na I gewezekana nikatoka lakini Imeshindikana kwakuwa watu wa maabara wako mapumziko au holiday. Nani atalipa gharama kwa siku hizi
 
Kwa Vile Tumeshazoea Kulipa kwa VIFURUSHI,leo nimekutana na kifurushi katika hospitali ya Bugando kuwa Ukipewa kitanda inabidi ulipe 150,000/=(kama deposit na hii huisha/expire ndani ya siku 4)na ni NON REFUNDABLE,hata kama ukifa unapelekwa wodini na hujapata huduma ilhali tu ulishalipa!Baada ya kuuliza kwa kina nikapewa maelekezo kama ifuatavyo na Mhudumu mmoja cjui kama yuko sahihi kwa mchanganuo huo wa kifurushi!
-Admission cku 4,kila siku ni 7,000/=
-Drugs/Madawa ni 25,000/=
-Investigation ni 25,000/=
-Consumables/vifaa tiba 25,000/=
-Utilities,(Umeme na Maji)-17,000/=
-Ward Laundry ni 25,000/=

HOJA:Kwa kuwa wameanzisha mfumo wa kulipa kwa card(HOSPITAL PREPAID CARD) na kwa nini wasingekuwa wanakata malipo yao na kurejesha albaki,kama umetumia 100,000/= na kwa huduma ya siku 3, shilingi 50,000/=irejeshwe kwenye card yako?Hii si sahihi na kama sio jipu ni tambazi!
 
Hivi viongozi hawalioni hili jamani pia wahudumu wake wamejawa na dharau...Bugando pesa..
 
Mwanzoni huo utaratibu haukuwepo,waliokuwa wanaenda kutibiwa BMC walikuwa wanalipa baada ya kupona,wakiruhusiwa kutoka,wengine wakawa wanatumia mwanya huo kutoroka bila kulipa,hospitali inaingia hasara!Ndo maana huo utaratibu ukaanzishwa,lipa ndo uhudumiwe maana hata simu unaweka vocha then ndo unapiga simu!Watu wakitoroka bila kulipa,hospitali ikaingia hasara nani atafidia?Huduma zikiwa mbovu sisi wenyewe ndo wa kwanza kuanza kulalamika!
 
Stay Tuned,Kumbe Kifurushi hichi ni TAMBAZI sio jipu na kila mtu anaogopa kumvisha paka kengele ila mimi najitoa kwa ajili ya watu wengine,malalamiko kibao mpaka staff nao wanalalamika sasa ngoja nikupe maajabu yaliyonitokea!
Niliingia Hospitali saa 5:30 usiku siku ya tarehe 3/1/2015 nikapokelewa vizuri na mgonjwa wangu akahudumiwa na daktari,baadae akanishauri kuwa tunahisi ni tetanus hivyo ni vizuri mgonjwa alazwe ili kesho aonane na specialist,nikalipa bill zangu za awali za matibabu kama orodha ifuatayo:-
1.SELFT REFERAL PARTIENTS:(casuality by pass fee & without appointment)............................ Tsh 20,000/=
2.RBG................................................. Tsh 2,500/=
3.B/S(Haematology)........................... . Tsh 2,000/=
4.Cannula,syringe na Gause................. Tsh 2,100/=
5.Oframax,ATS,Metris.......................... Tsh 11,000/=
6.Card ya Matibabu ya CRDB................ Tsh 2,000/=
TOTAL Tsh 39,600/=

Baada ya Huduma hii kupatiwa na kulipwa nikashauliwa ni bora mgonjwa alazwe ili apate uangalizi wa karibu kwani Tetanus ni ugonjwa hatari,ili specialist aonane nae asubuhi na hii ilikuwa kama saa 9 :11 usiku,ndipo ikadaiwa nilipe kifurushi cha 150,000/=kama Malipo ya awali,(deposit package)kwa wagonjwa wa kawaida(general) wanaolazwa,na asubuhi yake tarehe hiyo hiyo saa 4 asubuhi akaja daktari round akamdischarge(akamruhusu)kuwa hana tetanus na hakupewa dawa yeyote zaidi ya drip(ambayo ililipwa awali kabla ya kumlaza) wakati naenda kufanya clearance naambiwa HELA YAKO IMETOSHA!..Niko na Maongezi na Uongozi Baada ya Ofisi ya Mahusiano,Malipo Kushindwa Kujibu Hoja zangu nilizowapelekea ila nina clip za sauti za kila niliyeongea nae toka naingia hospitali saa 5:30 usiku na majibu yao,na hoja tulizofanya nitaziupload tuzisikie na tushauriane ili tujue Tambazi(jipu kubwa la ndani) Tutalimalizaje!na kila unaemkuta analalamika !
-
 
Mwanzoni huo utaratibu haukuwepo,waliokuwa wanaenda kutibiwa BMC walikuwa wanalipa baada ya kupona,wakiruhusiwa kutoka,wengine wakawa wanatumia mwanya huo kutoroka bila kulipa,hospitali inaingia hasara!Ndo maana huo utaratibu ukaanzishwa,lipa ndo uhudumiwe maana hata simu unaweka vocha then ndo unapiga simu!Watu wakitoroka bila kulipa,hospitali ikaingia hasara nani atafidia?Huduma zikiwa mbovu sisi wenyewe ndo wa kwanza kuanza kulalamika!
@lopinavir,ukiweka vocha unapiga,je ukiweka vocha na ukashindwa kupiga na ukaambiwa hela imeisha ni sahihi?na tambua serikali inachangia baadhi ya mishahara ya wataalam wa bugando ni pesa ya walipakodi,usipokuwa na uchungu na nchi yako hakuna atakae kuhurumia!
 
Hamna haja ya Kulalamika, dawa yake ni kwenda Hospitali za Serikali kutibiwa na sio kwenda kwenye Hospitali zinazomilikiwa na kuendeshwa na taasisi binafsi.
BMC partialy inaendeshwa na serikali kwa kulipa mishahara ya baadhi ya wataalam,na hospitali yenye vifaa vingi na ICU kwa mwanza naona kuna mgomo baridi!
 
Katafute hela utibiwe acha League.
Mungu Mweusi,na mwisho nimemtoa mgonjwa wangu by saa 10 jioni na kumpeleka hospitali na maabara tatu tofauti na kugundua kuwa ana malaria, kwenye vipimo vizuri na hospitali ya BMC pesa yote na muda wote wameshindwa kumchunguza mgonjwa. na amelazwa na anaendelea na matibabu hospitali ingine na nafuu imeonekana!wakati ona vision na mission zao!
NOTE:
ZINGATIA AMEPIMA B/S(HAEMATOLOGY) PIA BUGANDO NIMEAMBATANISHA NA MALIPO HAYO ANGALIA CLAIM.

::..Bugando Medical Centre

Our Vision:
BMC envisions a healthy society served by skilled and competent health care providers.

Our Mission:
BMC as a tertiary referral hospital exists to improve the welfare of the community in the Lake Zone through provision of state of the art, diversified, specialised and super specialised health care, research, training and consultancy services guided by Catholic Church ethics and morals.

MY TAKE:
Kama sio wacheza FICTION MOVIE ni nini?usiwe na mawazo mgando,Mungu Mweusi na wengineo issue sio hela hapa ila UNALIPIA SAHIHI UNACHOPATIWA!
 
Back
Top Bottom