Mfukutuzi JF-Expert Member Feb 15, 2015 239 175 Feb 25, 2015 #61 Jamani ebu tusaidiane kwa aliyeelewa tamko la TCRA juu ya gharama za simu, mimi nimeona wanazunguka Mbuyu tu hakuna chochote cha maana walichokisema.
Jamani ebu tusaidiane kwa aliyeelewa tamko la TCRA juu ya gharama za simu, mimi nimeona wanazunguka Mbuyu tu hakuna chochote cha maana walichokisema.