Ntaangalia mtandao mpya utao nipa bundle nzuritigo na voda wanatoaje
nmeona mkuu
Hizo hazimalizi hata wiki mbiliAmbae anataka proof afanye kuunganisha line zote mbili na same bandwidth aanze ku stream same content af aone jinsi halotel walivyo wezi.
Ata hio elfu 15 unayolipia hizo GB amini nakwambia tarehe 10 ya mwez wa kwanza hutafika!!! With no serious uses.