Wingawinga
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 621
- 1,524
- Thread starter
- #401
Asante sana kwa mshairi mwema kwake huyu mdau.My brother you are losing the plot. Hapa watu wanakumbushana stories za maisha miaka hiyo.. The point is, Oysterbay was there….so hata kama siyo Kiranga au Wingawinga wengine wangeishi. Hata wewe au mimi nyota ingetutokea mshua ramani zimekubali tungeishi huko.. Hata wewe hapo ulipo, Kuna watu wanaamini watoto au familia yako wanaishi kishua au ushuani. Sasa should they feel guilty at some point in the future kuishi maisha mazuri? Unataka Wingawinga akupe stories za mwananyamala ambayo hakuwahi kuishi, kisa ajinasibu kama mtu wa kipato cha chini?
wengine stories kama hizi zinatubariki. Zina kuonyesha kwamba tunaishi kwenye dunia yenye possibilities.
take it easy bro ..hizi ni stories, nothing serious. matabaka ndo yanaifanya dunia iwe na thamani.