Vifo vya vijana hawa miaka 80 na early 90 huko ushuani, Oysterbay

Basi kwakuwa hao watu sio muhimu humu jf ingependeza mkaunda group la watoto wa kishua wa obey then ukatumbukizia hiyo mada yako ya kuwaulizia hao waliorushwa huko maghorofani naamini ungepata taarifa sahihi kuwahusu. .

Sasa kila mtu kutoka eneo lake huko aje jf kuanzisha thred ya kuwaulizia waliokufa huko kwao jf itakuwa ni uwanja wa fujo......
To be fair hujakatazwa kuanzisha thread ya waliokufa kwenu.

Na JF ni uwanja wa fujo tayari, so acha visingizio.

Weak argument.
 
Mijitu mizima wengine wana wajukuu wanawaza jinsi walivyo kuwa wakiishi maisha ya privilege Oysterbay na Masaki sababu baba zao walikuwa vigogo Serikalini. Utakuta wengi walipelekwa Ulaya na USA kupitia pesa za kodi na leo hii maisha yamewashinda wamebaki kukumbuka how happy and lucky they were back when they were living with moms and pops i n Masaki and Oysterbay.
 
Mijitu mizima wengine wana wajukuu wanawaza jinsi walivyo kuwa wakiishi maisha ya privilege Oysterbay na Masaki sababu baba zao walikuwa vigogo Serikalini. Utakuta wengi walipelekwa Ulaya na USA kupitia pesa za kodi na leo hii maisha yamewashinda wamebaki kukumbuka how happy and licky their lives were back when they were living with moms and pops i n Masaki and Oysterbay.
Kwani nini kimebadiliaka sasa hiv? Acha wivu , utauia moyo. bure .
 
Usije jiua tuu hata wewe ungekua na baba ana nafasi ungemlaani kwanini hajakupeleka Ulaya acha wivu .
Mimi nimeenda Ulaya kusoma kwa akili yangu sikusaidiwa na mzee. Hadi ticket ya KLM economy class nili hustle mwenyewe. Nyie washua wa Masaki na O’bay mlikuwa mnapanda ndege first/business class kwa pesa ya baba aliyekuwa akilipwa mshahara na serikali?
 
Aisee kweli , siku hizi kuna watu wameibuka hahahahahahaha, ume ni chekesha kitu kimoja, kuna jama walikua wana kaa hapo Namanga ,uswazi, sasa walikua wanakuja Obay , wana ndugu zao, hao jamaa ndio wakaanza funza watoto wa kishua wizi, waka wana waambia , ukiingia ndani , cheki kwnye wallet ya baba yako una weza kuta dollar chukua halafu lete, au walio walio fuga kuku,walikua wana waambia ingia bandani iba kuku , sasa kibaya ndio wakawavutisha bangi, kuna jamaa mmoja hadi leo ame data sababu ya bangi na pombe na chanzo ni hao jamaa wa Namanga hapo .Kama mtu amesha wastukia ni nani please anomba asiwataje majina .lol

Ndio maana watoto wa Mbuyuni walikuwa wanaogopwa tunaambiwa tusicheze nao kumbe ni sababu hiyo
 
Mimi nimeenda Ulaya kusoma kwa akili yangu sikusaidiwa na mzee. Hadi ticket ya KLM economy class nili hustle mwenyewe. Nyie washua wa Masaki na O’bay mlikuwa mnaoanda ndege first/business class kwa pesa ya baba aliyekuwa akilipwa mshahara na serikali?
Usiwalundike watoto wa kishua / Oysterbay wote kwenye kundi moja.

Kafuatilie maisha ya William Lemutuz Malecela uone alivyopasua mwenyewe.

Kuna mwana mmoja alikuwa analalamika baba yake kakataa ufadhili wa wahindi kumtoa aje kusoma Marekani, mshua alikuwa kigogo, akasema hawa wahindi wakikufadhiki wananku own, akakataa on principle. Mpaka mwana akaja kuitoa kivyake mwenyewe.

Usikariri kwamba watoto wa Oysterbay wote wamefungishwa mkanda na washua.
 
Usiwalundike watoto wa kishua / Oysterbay wote kwenye kundi moja.

Kafuatilie maisha ya William Lemutuz Malecela uone alivyopasua mwenyewe.

Kuna mwana mmoja alikuwa analalamika baba yake kakataa ufadhili wa wahindi kumtoa aje kusoma Marekani, mpaka mwana akaja kuitoa kivyake mwenyewe.

Usikariri kwamba watoto wa Oysterbay wote wamefungishwa mkanda na washua.
Le Mutuzi aliweza kujisimamisa mwenyewe sababu hakuwa anahesabika kama mwana wa nyumba kubwa, yule hakuwahi ishi nyumba ya mzee yule na ina wezekana hata alikua hatambuliki , wote walio close to that family watakua mbia kwamba Lembebe hakuwepo kwnye maisha ya ile familia , aliishi kivyake toka mdogo, hakuwa mana Oysterbay na hakuna aliye mjua mpaka kaja kuwa mtu mzima. mzima .
 
Aisee , mimi nime wajua The Jacksons kwamba ni popular sababu ya kina Opanga, sababu kubw akwetu tulikua na zile Albums za LP na tukawa na hao The Jaclsons Albums zao , sasa hao kina Opanga wakawa ndio wam erudi toka USA ,miaka hiyo , kipindi cha party za wakaona hizo Albm ndio wakaanza tuhadithia , huyu ni Michael jackson , hawanni the Jacksons ni wako popular sana USA , ndio nikamjua Michael jackson wakati huo yuko kwnye Gorup la the Jacksons
Kama nyumba yeni ilikua next to Opangas basi before nyumba yenu hapo walikua wana kaa kina Arden ,Wema and Ndoli , mama yao alikua Mganda , baba yao alikua ni yule Waziri nime sahau jina lake, Obanga walrdi na gari eni hizo ndio tunaona kali Peugeot 504 na bada ya muda nao hao wakanunua Peugot 504 kali ina hadi sun roof, iilkua matanuzi haswa , nyumba next, ilikuwa wanaitwa Kimbwereza sijui wako wapi now.

Nyumba yetu ilikuwa between Opangas na Kimbwereza. Kulikuwa kuna kaka yao ana kibiongo ndo mara ya kwanza naona mtu wa namna hiyo I remember tukimtania, shame ila ni utoto ulikuwa
 
Nyumba yetu ilikuwa between Opangas na Kimbwereza. Kulikuwa kuna kaka yao ana kibiongo ndo mara ya kwanza naona mtu wa namna hiyo I remember tukimtania, shame ila ni utoto ulikuwa
Ok sikumbuki ni Kaka yupi huyo mwenye Kibiongo , ila na Mkumbuka walikua wana Kaka yao anaitwa Kamba ( Kamba kama unasoma hapa unajua tulisha wahi pigana mangumi mimi na wewe ) . Obay nilisha wai pigana na watu wawil , Kamba Na Aluta Warioba na wote waka ni dunda, hahahaha
Hiyo nyumba unayo sema sikujua alikuja hamia nani baada ya hapo na dhani ndio nyie , ila aliye kuwa wakati huoa naishi hapo ni huyo ni Prffesor mmoja wa UDOM ambaye baadae akaja kuwa Waziri , nime sahau jina lake , ila watoto wake ni kulikua na Arden , Wema na Ndoli, Mama yao alikua Mganda namkumbuka yule mama na Miwani yake , nilikua namuogopa sana kwa kudhani ni mkalisababu ni Mganda kipindi hicho Amin ndio habari za mjini , hivyo nikadhani waganda wote ni wakali .
 
Nyumba yetu ilikuwa between Opangas na Kimbwereza. Kulikuwa kuna kaka yao ana kibiongo ndo mara ya kwanza naona mtu wa namna hiyo I remember tukimtania, shame ila ni utoto ulikuwa
Dah,

Mnakutana mpaka majirani sasa hapa mpaka mtajuana sasa.

Kuna Ras mmoja mtoto wa Waziri Balozi Rwegasira alikuwa anakaa karibu na beach kule alikuwa dread anavaa kofia ya rasta sanaa, alikuwa anasoma Mzizima nafikiri.

Alinipa kitabu kina lyrics za nyimbo nyingi za Bob Marley.

Sijui yuko wapi siku hizi yule.
 
Hivi Max ndio kina Kafipa? Au namchanganya? Ila jina la mwisho Kafipa, either Max or Anthony jamani alikuwa akipita mtaa wa Ethiopia Crescent wasichana wanakimbia hatari maana mtaa ulikuwa na mabinti wazuri kweli.
Huyu ni Kaka yake anaitwa Anthony , alikua gagwe enzi hizo tuna danganyana eti Anthony anaweza piga shule nzima kama tulivyo kuwa tuna danganya eti Bruce Lee ana weza piga dunia nzima . lol
 
Back
Top Bottom