Vifo vingi vinavyohusisha RADI utokea vijijini ni kwann?

Radi, mada iliyotikisa miaka mingi sana kichwani mwangu, nilikuwa mdadisi sana enzi zile sijui nikushirikishe? Maana ni mambo ya kuogofya, kifupi nilikuwa mkazi wa nyanda za juu kusini
 
Radi, mada iliyotikisa miaka mingi sana kichwani mwangu, nilikuwa mdadisi sana enzi zile sijui nikushirikishe? Maana ni mambo ya kuogofya, kifupi nilikuwa mkazi wa nyanda za juu kusini
Tiririka mkuu
 
OK mkuu BT sijaelewa majengo marefu yanasaidiaje....ni mikoa michache sana ina majengo marefu

NDAMANDOO ameeleza kifupi na kujitosheleza.
Radi kama tunavyofahamu inaacheza na kitu kirefu zaidi kwenda juu. Miji mingi majengo yamewekewa vyuma maalum vya kupeleka yale madhara chini kwenye ardhi.

Kijijini hakuna mifumo ya aina hiyo, ndio maana inaleta uharibifu kwenye miti au binadamu na wanyama wanaokua kwenye eneo la uwazi na hakuna kitu kirefu.
 
Radi, mada iliyotikisa miaka mingi sana kichwani mwangu, nilikuwa mdadisi sana enzi zile sijui nikushirikishe? Maana ni mambo ya kuogofya, kifupi nilikuwa mkazi wa nyanda za juu kusini


Sitakuja kusahau nikiwa shule Iringa, niliona kama cheche za umeme kwenye kona ya bweni na hakukua na nyaya zozote, mwanga wake na mlio wake haujawahi kunitoka kichwani.

Wakati tukiwa shule iliua mwanafunzi mwenzetu, haikumpata shuleni walikua ni wale wa shule za kutwa. Iringa ndio nilijua tafsiri ya radi
 
Back
Top Bottom