Vifo JKT vyaongezeka

Vifo JKT vyaongezeka

Jaman hapa tumebshana kwa mengi sana na kutupiana maneno makali!!
Wapo waliosema kwamba CDM ndo wanaleta chokochoko hizi kuwa jkt inauwa watoto, wengine wamesema wacha wafe, wengne sisi tulipitia JKT ni pazur na wapo waliokufa n.k yote kwa yote ni kumpinga mleta mada na wale tuliokbaliana na mleta mada,
labda tueleweshane kama mtakuwa waelewa!!
Ikumbukwe na kuwa wabunge walienda kwa mujibu wa sheria
na hawa watoto walienda kwa mujibu wa sheria hiyo hiyo
hapa sijui nani atapinga kwamba hawakwenda kwa mujbu wa sheria
haya mazoezi yalilengwa kwa watoto tu ambao hawana wa kuwasemea?
Mbona hao wabunge waliokwenda hatujaskia hata mmoja kafa kwa7bu maswali yangekuwa mengi au?
Ki ukweli siipingi JKT hata kidogo lkn maswali nnayojiuliza ni mengi na hayo ma2 ni among of them!.
Lkn kuna mtu kaelezea kuwa vpimo vinajazwa holela baadhi ya sehemu lkn walioenda Dar wamepimwa kupitia hsptl za jeshi hawa wengine je?
Wabunge wamefanyiwaa vizur coz ya kuwa mabaloz kwakuwa hawa ndo wasemaji wakubwa kuwa kule kupo poa!!
Watu wasikutufikiria vibaya ni kuwa tuna watoto na watoto wa ndg zetu, jamaa na marafiki nk...
Sasa tusiongee mengi ngoja hawa watoto watoke huo mwezi wa 8 wayalete humu humu haya tunayo lalamikia!!
 
Nikweli kabisa watoto wanakufa, wiki iliyopita nilipata taarifa kambi ya Tanga walifariki wawili mmoja katoka shule ya pungu mwingine jitegemee. Chamsingi wahusika wajaribu kuwapa zoezi kulingana na background za hawa vijana, haiwezekani mtoto toka anaanza kukua hajawahi kutembea kwa miguu umbali wa kilometa moja, anapanda daladala au kupelekwa na gari shuleni, maziwa aliyonyonya muda mrefu ni ya kopo chakula chake ni chips then ghafla anapewa mikimiki kama yakwetu sisi enzi zile za mwalimu ambao ugumu tulishauzoea maana tulilima kwa mikono na shule tunatembea km kadhaa na chakula chetu ilikuwa dona kwa kwenda mbele. kwakweli watoto hawa inabidi waandaliwe toka chini la tutaweka mazingira ya kuogopa jeshi ingawa ni jambo zuri sana kwenda jeshini.
 
Nikweli kabisa watoto wanakufa, wiki iliyopita nilipata taarifa kambi ya Tanga walifariki wawili mmoja katoka shule ya pungu mwingine jitegemee. Chamsingi wahusika wajaribu kuwapa zoezi kulingana na background za hawa vijana, haiwezekani mtoto toka anaanza kukua hajawahi kutembea kwa miguu umbali wa kilometa moja, anapanda daladala au kupelekwa na gari shuleni, maziwa aliyonyonya muda mrefu ni ya kopo chakula chake ni chips then ghafla anapewa mikimiki kama yakwetu sisi enzi zile za mwalimu ambao ugumu tulishauzoea maana tulilima kwa mikono na shule tunatembea km kadhaa na chakula chetu ilikuwa dona kwa kwenda mbele. kwakweli watoto hawa inabidi waandaliwe toka chini la tutaweka mazingira ya kuogopa jeshi ingawa ni jambo zuri sana kwenda jeshini.
Hongera kwa comments zako zenye akili.
 
Hizi ni proopaganda za chadema za kufanya watu wasipende JKT.

Chadema kila jambo zuri linaloanzishwa lazima walifanyie fitina ili lisifanikiwe.

Msikubali kulaghaiwa na hawa walafi wenye uroho wa madaraka. Wako radhi kuiharibu nchi ili wapate madaraka tu.

Kabla hamjalaghaika jiulizeni, hao watu wanaokufa na kuagwa miili yao inaenda mwezini? kwanini hakuna ndugu aliyefiwa huku uraiani?

Ninamshauri Maj. Gen. Muhuga akae chini viongozi wa chadema kiutu uzima awaambie kuwa huu upuuzi wa kutunga propaganda za kijinga juu ya kozi za JKT haufai.

Iwapo hawatasikia basi nashauri jeshi lifanye "jambo linalostahili" kwa maslahi ya wengi.

kwamba uonekane tu!!?
 
Uzito wa ya Kwako upo wapi .........?

Jibu swali ulilo ulizwa au unazani JKT wanaenda jifunza kupika?


Ni sawa na Batalioni yetu inayoenda DRC ikirudi na watu pungufu uhoji kwa nini wengine wamekufa?
Kwani DRC wanaenda kusoma?au sherehe?
 
Jibu swali ulilo ulizwa au unazani JKT wanaenda jifunza kupika?

Ni sawa na Batalioi yetu inayoenda DRC ikirudi na watu pungufu uhoji kwa nini wengine wamekufa?
Kwani DRC wanaenda kusoma?au sherehe?
Sina haja ya kukujibu hainisaidii kitu mmekaa Kisiasa siasa sana eti mnajifanya wazalendo ..........!
 
Jibu swali ulilo ulizwa au unazani JKT wanaenda jifunza kupika?

Ni sawa na Batalioi yetu inayoenda DRC ikirudi na watu pungufu uhoji kwa nini wengine wamekufa?
Kwani DRC wanaenda kusoma?au sherehe?
Halafu tofautisha mafunzo na Kazi, wale waliopelekwa DRC ni wako kazini, hao wengine wapo mafunzo, jifunze kutofautisha mambo kwa kufikiri kutumia ubongo......
 
Kama huna jibu nakusaidia kama ifuatavyo
Ulinzi wa Taifa
  • Kuwapa vijana mbinu za kijeshi wawe Jeshi la akiba, kuwaandaa vijana watakaofaa kujiunga na vyombo vingine vya Ulinzi na Usalama.
  • Kuwaandaa vijana kusaidia katika majanga mbalimbali, mfano mafuriko, moto na ajali mbali mbali.
Mbinu za kijeshi ndo apo suala la kufa hutokea,bila shaka utakuwa umeielewa.
Sio ugomvi ni kuelimishana maana vijana wa siku izi mnazani JKT ni kama kwenda shule ya boarding
 
Kama huna jibu nakusaidia kama ifuatavyo
Ulinzi wa Taifa
  • Kuwapa vijana mbinu za kijeshi wawe Jeshi la akiba, kuwaandaa vijana watakaofaa kujiunga na vyombo vingine vya Ulinzi na Usalama.
  • Kuwaandaa vijana kusaidia katika majanga mbalimbali, mfano mafuriko, moto na ajali mbali mbali.
Mbinu za kijeshi ndo apo suala la kufa hutokea,bila shaka utakuwa umeielewa.
Sio ugomvi ni kuelimishana maana vijana wa siku izi mnazani JKT ni kama kwenda shule ya boarding

kweli watu wamefubazwa akili hizi siasa zinatumaliza, hapo watu wametafuta mwanya wa kula hela za kodi tunazolipa tu..............!
 
kwani walieonda walifanya application au walichaguliwa moja kwa moja mashuleni mnisaidie kwa hilo

Hakuna mwanafunzi aliyeomba bali walichaguliwa moja kwa moja kutoka mashuleni
 
Watoto wanaokufa JKT serikali inalijua hilo? Nenda kashuhudie makambi ya Tabora,Tanga nk.Hivi watoto hao walipotoka Form six walipimwa afya kwanza kabla ya kwenda JKT? Sasa haya ona sasa wanakufa.

Tafuta habari ya uhakika mkuu, tetesi ni majungu.
 
kwani walieonda walifanya application au walichaguliwa moja kwa moja mashuleni mnisaidie kwa hilo
iwe wamechaguliwa, iwe wamwaliapply hakuna mtu yeyote anayeweza kumlazimisha mtu au aliyelazimishwa kwenda. kitendo cha wao kukubali kwenda by implication wameridhia na ni acceptance tosha kwa offer ya JKT na maxim hiyo ina apply moja kwa moja au kama una maenlezo tofauti waweza kunisahihisha na kunifundisha mkuu
 
iwe wamechaguliwa, iwe wamwaliapply hakuna mtu yeyote anayeweza kumlazimisha mtu au aliyelazimishwa kwenda. kitendo cha wao kukubali kwenda by implication wameridhia na ni acceptance tosha kwa offer ya JKT na maxim hiyo ina apply moja kwa moja au kama una maenlezo tofauti waweza kunisahihisha na kunifundisha mkuu
siwezi kukubaliana na wewe moja kwa moja......kuna sheria yoyote kuhusiana na mafunzo hayo.....na walipewa uhuru wa kuchagua kwenda au kutokwenda
 
Back
Top Bottom