Ta Kamugisha
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 3,547
- 2,194
Hacha majungu wewe, leta data kamili au unakimbizwa:bolt:
Hizi ni proopaganda za chadema za kufanya watu wasipende JKT.
Chadema kila jambo zuri linaloanzishwa lazima walifanyie fitina ili lisifanikiwe.
Msikubali kulaghaiwa na hawa walafi wenye uroho wa madaraka. Wako radhi kuiharibu nchi ili wapate madaraka tu.
Kabla hamjalaghaika jiulizeni, hao watu wanaokufa na kuagwa miili yao inaenda mwezini? kwanini hakuna ndugu aliyefiwa huku uraiani?
Ninamshauri Maj. Gen. Muhuga akae chini viongozi wa chadema kiutu uzima awaambie kuwa huu upuuzi wa kutunga propaganda za kijinga juu ya kozi za JKT haufai.
Iwapo hawatasikia basi nashauri jeshi lifanye "jambo linalostahili" kwa maslahi ya wengi.
Watoto wanaokufa JKT serikali inalijua hilo? Nenda kashuhudie makambi ya Tabora,Tanga nk.Hivi watoto hao walipotoka Form six walipimwa afya kwanza kabla ya kwenda JKT? Sasa haya ona sasa wanakufa.
Hizi ni proopaganda za chadema za kufanya watu wasipende JKT.
Chadema kila jambo zuri linaloanzishwa lazima walifanyie fitina ili lisifanikiwe.
Msikubali kulaghaiwa na hawa walafi wenye uroho wa madaraka. Wako radhi kuiharibu nchi ili wapate madaraka tu.
Kabla hamjalaghaika jiulizeni, hao watu wanaokufa na kuagwa miili yao inaenda mwezini? kwanini hakuna ndugu aliyefiwa huku uraiani?
Ninamshauri Maj. Gen. Muhuga akae chini viongozi wa chadema kiutu uzima awaambie kuwa huu upuuzi wa kutunga propaganda za kijinga juu ya kozi za JKT haufai.
Iwapo hawatasikia basi nashauri jeshi lifanye "jambo linalostahili" kwa maslahi ya wengi.
kumbe habari yenyewe hata wewe umeisikia tu ?(hauna uwakika nayo) basi utakua udaku ulio jaa u-CDM.Leo Tabora peke yake tena nasiki wameaga maiti mbili.
i realy dought about your PERSONALITY, PROFESSIONALIZATION and STATE OF MINDHizi ni proopaganda za chadema za kufanya watu wasipende JKT.
Chadema kila jambo zuri linaloanzishwa lazima walifanyie fitina ili lisifanikiwe.
Msikubali kulaghaiwa na hawa walafi wenye uroho wa madaraka. Wako radhi kuiharibu nchi ili wapate madaraka tu.
Kabla hamjalaghaika jiulizeni, hao watu wanaokufa na kuagwa miili yao inaenda mwezini? kwanini hakuna ndugu aliyefiwa huku uraiani?
Ninamshauri Maj. Gen. Muhuga akae chini viongozi wa chadema kiutu uzima awaambie kuwa huu upuuzi wa kutunga propaganda za kijinga juu ya kozi za JKT haufai.
Iwapo hawatasikia basi nashauri jeshi lifanye "jambo linalostahili" kwa maslahi ya wengi.
Kwa hiyo unasifia vifo jeshini................?:A S 39:Kwenye mazoezi ya kijeshi vifo i jambo la kawaida labda kama itakidhiri wakufunzi huwa wanacome up na maamuzi fulani ivi
Enzi zetu walikufa watu 6 mpaka mafunzo yanaisha
Hizi ni proopaganda za chadema za kufanya watu wasipende JKT.
Chadema kila jambo zuri linaloanzishwa lazima walifanyie fitina ili lisifanikiwe.
Msikubali kulaghaiwa na hawa walafi wenye uroho wa madaraka. Wako radhi kuiharibu nchi ili wapate madaraka tu.
Kabla hamjalaghaika jiulizeni, hao watu wanaokufa na kuagwa miili yao inaenda mwezini? kwanini hakuna ndugu aliyefiwa huku uraiani?
Ninamshauri Maj. Gen. Muhuga akae chini viongozi wa chadema kiutu uzima awaambie kuwa huu upuuzi wa kutunga propaganda za kijinga juu ya kozi za JKT haufai.
Iwapo hawatasikia basi nashauri jeshi lifanye "jambo linalostahili" kwa maslahi ya wengi.
Jamaa anaombea jeshi lichukue nchi kuliko CDM maana itakuwa hakuna loopholes tena za kijinga.Akili kama hizi ni hasara kubwa sana kwa nchi,no wonder ur IQ is approaching negative
Hizi ni proopaganda za chadema za kufanya watu wasipende JKT.
Chadema kila jambo zuri linaloanzishwa lazima walifanyie fitina ili lisifanikiwe.
Msikubali kulaghaiwa na hawa walafi wenye uroho wa madaraka. Wako radhi kuiharibu nchi ili wapate madaraka tu.
Kabla hamjalaghaika jiulizeni, hao watu wanaokufa na kuagwa miili yao inaenda mwezini? kwanini hakuna ndugu aliyefiwa huku uraiani?
Ninamshauri Maj. Gen. Muhuga akae chini viongozi wa chadema kiutu uzima awaambie kuwa huu upuuzi wa kutunga propaganda za kijinga juu ya kozi za JKT haufai.
Iwapo hawatasikia basi nashauri jeshi lifanye "jambo linalostahili" kwa maslahi ya wengi.
Jamaa anaombea jeshi lichukue nchi kuliko CDM maana itakuwa hakuna loopholes tena za kijinga.
hahaha nikipiga ru mstari naona beyond the eyes kuna ubongo wa nyuma kwa hiyo jamaa amefikiria kwa ubongo wa mbele juu ya macho.kuna sehemu mtoa mada kajiita yeye ni chadema?
kila anaekosoa kitu ni chadema?
think beyond your eyes,
nenda lumumba kachukue mshiko nakujua ww ni mpiga debe wa siku zote hapa jukwaani
Hizi ni proopaganda za chadema za kufanya watu wasipende JKT.
Chadema kila jambo zuri linaloanzishwa lazima walifanyie fitina ili lisifanikiwe.
Msikubali kulaghaiwa na hawa walafi wenye uroho wa madaraka. Wako radhi kuiharibu nchi ili wapate madaraka tu.
Kabla hamjalaghaika jiulizeni, hao watu wanaokufa na kuagwa miili yao inaenda mwezini? kwanini hakuna ndugu aliyefiwa huku uraiani?
Ninamshauri Maj. Gen. Muhuga akae chini viongozi wa chadema kiutu uzima awaambie kuwa huu upuuzi wa kutunga propaganda za kijinga juu ya kozi za JKT haufai.
Iwapo hawatasikia basi nashauri jeshi lifanye "jambo linalostahili" kwa maslahi ya wengi.