Vifaru chapa leopard vina kitu gani hasa special?

Vifaru chapa leopard vina kitu gani hasa special?

Leopard 2 Ni kifaru Cha kawaida kabisa kwa teknolojia za kisasa za ATGM hebu fikiria wakurdi mwaka 2016 waliangamiza makumi ya leopard 2 kwa kutumia Soviet made ATGM kwa majina Konkurs na Metis.
Ndo Iwe leo modernized version ya Kornet ATGM dhidi ya leopard 2?
Leopard it's kufa kifo kibaya hasa kutoka kwa Kornet, na pia kutoka gunship na bombers Kama mi 28, ka 52, ama Su 25 frogfoot.
 
Pamoja na sifa zote, yaani one gets an impression kana kwamba labda zimenukiliwa kutoka kwenye make believe movie script za Hollywood script writer - utani tu huo mkuu.

For a starter: mbona tuliona hizo tankers za Kijerumani mnazo zisifia hapa zilikuwa zinatiwa kiberiti na Russian no nonsense Kornet ATGM huko Syria - vifaru hivyo Wajerumani waliwauzia Waturuki - waturuki wakafanya makosa ya kutaka kutumia vifaru hivyo vya Kijerumani kuivamia Syria - sijui kama hata kifaru kimoja kilifanikiwa kurudi Uturuki, vilitiwa viberiti, Waturuki hawajarudia tena makosa hayo.

Sasa hawa viongozi wa Poland wanao kuwa driven na chuki zao za asili dhidi ya Taifa la Urusi ndio wanajitia kulazimisha mambo wanafikiri wakipeleka vifaru vya Kijerumani huko Ukraine vitafanya miujiza gani??

Zelensky akubali kushindwa tu ili yaishe - hasikubali taifa lake na raia wake watumike kijinga na mataifa ya magharibi wakiwa na lengo la kutaka kuikomoa Russia - mbinu za magharibi zimekwisha gonga mwamba unless wako tayari kuanzisha WW3 na wanajua vizuri hawawezi kushinda vita hii come rain or shine.
Mkuu leopard 2 ilivunjwavunjwa sio na Kornet ATGM Bali na Soviet made Konkurs na Metis ATGMs
 
Urusi haina kifaru chochote cha kupambana na Leopald 2 ya Mjerumani wala Challenger 2 ya Mwingereza.

Rekodi ya vifaru vya Western vs Russia/USSR ilipatikana kwenye vita kadhaa. Six Days war Israel ilikuwa na vifaru 800 vya Marekani na Uingereza, Waarabu wana vifaru zaidi ya 2400 wakapigwa navyo kwenye encounters.
Iraq ilikuwa na Soviet made tanks, ikapigwa navyo kwenye tank battles achana na kwenye vita kijumla.

Hatujapata serious tank battle miaka ya hivi karibuni. Na hii misaada haiwezi reflect uwezo mkubwa, UK inapeleka vifaru 12 vya Challenger 2 kujifunza ikitoka hapo ifanye upgrade. Ujerumani au Poland sijui wanatoa vingapi ila sidhani kama hata 50 vitafika
Duh kwa leopard 2 gani ya kutamba dhidi ya t 90M?
Dhidi ya Kornet?
Dhidi ya ka 52?
Dhidi ya mi 28?
Dhidi ya Smerch?
 
Duh kwa leopard 2 gani ya kutamba dhidi ya t 90M?
Dhidi ya Kornet?
Dhidi ya ka 52?
Dhidi ya mi 28?
Dhidi ya Smerch?
T-90M ni ya 2017 mpya kabisa kwa sasa. Tuipe Leopard 2 A8 ya 2010 ambayo ndio mpy, T-90M haiizidi. Sio kwenye detection range, protection wala penetration. T-90M imekamatwa Ukraine na wameenda isoma, humohumo kuna components za makampuni ya Ujerumani. Tena components zenye sanctions kuuzwa Russia
TMZM7NFOMVB4TBFXRDEPAAJJDQ.jfif.jpg
20230123_115505.jpg
20230123_115519.jpg


Tumelinganisha tanks, sio silaha nyingine. Na hizo nyingine ukitaka zilinganishwe nifanye hivi:
Kornet mpinzani wake kwa silaha za Ujerumani ni Panzerfaust 3, light weight ina kilo 14 mtu mmoja anabeba na iko very effective
Featured-Image-Panzerfaust-3-Anti-Tank-Weapon.jpg

Kornet hii hapa lazima ibebwe na watu wawili, ndefu kwenda juu inaonekana na adui kutokea mbali na ina tripod stand kwa sababu ya uzito wake na recoil. Hii sio very mobile, mwenye Pz 3 anafyatua moja anatimua zake mbio ila mwenye Kornet E mpaka afungue nati sijui atoe kitu gani waje wawili wabebe. We mwenyewe linganisha hapo
m02016111900010.jpg


Ka-52 mpizani wake kwenye jeshi la Ujerumani ni Eurocopter Tiger na kampuni zilizoiunda kama Airbus hazina uzoefu wa kutengeneza combat helicopters kwahiyo siiamini sana. Nifanye assumption Ka-52 inaizidi Tiger, ila uko Ukraine performance ya Ka-52 sijaielewa sana na vile hawapendi kuipa smart munitions. Mi-28 na Ka-52 zote ni attack helis.

Smerch na Tornado ni different calibers with almost the same function but with lower precision. Mwenzao kwa Ujerumani ni Mars II ambayo ni M270 version ya Ujerumani. M270 ni kama HIMARS yenye caliber na range ndogo ila yenye rockets nyingi.

Hapa unatetea nchi ambayo precision industry yake ambayo ni muhimu sana kutengenezea silaha inahitaji msaada wa makampuni ya Ujerumani ambayo yamepigwa marufuku kuiuzia Russia critical technologies. Hapa ni still picture imechukuliwa kwenye video ambayo Putin anafanya ziara kiwanda cha kutengeneza silaha cha Kalashnikov concern ambacho kinatumia lathes za DMG Mori, a German-Japanese company
20221224_003228.jpg
 
T-90M ni ya 2017 mpya kabisa kwa sasa. Tuipe Leopard 2 A8 ya 2010 ambayo ndio mpy, T-90M haiizidi. Sio kwenye detection range, protection wala penetration. T-90M imekamatwa Ukraine na wameenda isoma, humohumo kuna components za makampuni ya Ujerumani. Tena components zenye sanctions kuuzwa RussiaView attachment 2492463View attachment 2492465View attachment 2492467

Tumelinganisha tanks, sio silaha nyingine. Na hizo nyingine ukitaka zilinganishwe nifanye hivi:
Kornet mpinzani wake kwa silaha za Ujerumani ni Panzerfaust 3, light weight ina kilo 14 mtu mmoja anabeba na iko very effectiveView attachment 2492468
Kornet hii hapa lazima ibebwe na watu wawili, ndefu kwenda juu inaonekana na adui kutokea mbali na ina tripod stand kwa sababu ya uzito wake na recoil. Hii sio very mobile, mwenye Pz 3 anafyatua moja anatimua zake mbio ila mwenye Kornet E mpaka afungue nati sijui atoe kitu gani waje wawili wabebe. We mwenyewe linganisha hapoView attachment 2492472

Ka-52 mpizani wake kwenye jeshi la Ujerumani ni Eurocopter Tiger na kampuni zilizoiunda kama Airbus hazina uzoefu wa kutengeneza combat helicopters kwahiyo siiamini sana. Nifanye assumption Ka-52 inaizidi Tiger, ila uko Ukraine performance ya Ka-52 sijaielewa sana na vile hawapendi kuipa smart munitions. Mi-28 na Ka-52 zote ni attack helis.

Smerch na Tornado ni different calibers with almost the same function but with lower precision. Mwenzao kwa Ujerumani ni Mars II ambayo ni M270 version ya Ujerumani. M270 ni kama HIMARS yenye caliber na range ndogo ila yenye rockets nyingi.

Hapa unatetea nchi ambayo precision industry yake ambayo ni muhimu sana kutengenezea silaha inahitaji msaada wa makampuni ya Ujerumani ambayo yamepigwa marufuku kuiuzia Russia critical technologies. Hapa ni still picture imechukuliwa kwenye video ambayo Putin anafanya ziara kiwanda cha kutengeneza silaha cha Kalashnikov concern ambacho kinatumia lathes za DMG Mori, a German-Japanese companyView attachment 2492482
Sijamaanisha kufananisha but ninamaanisha kwa silaha nzito dhhidi ya kifaru kutoka kwa gunship Kama ka 52 na mi 28 Ni msiba kwa leopard 2.
Kama silaha z kisovieti Kama Konkurs na Metis zimeweza kuisam aratisha leopard2 itakuwa hizo ATGM Kama Kornet zishindwe?
 
Sijamaanisha kufananisha but ninamaanisha kwa silaha nzito dhhidi ya kifaru kutoka kwa gunship Kama ka 52 na mi 28 Ni msiba kwa leopard 2.
Kama silaha z kisovieti Kama Konkurs na Metis zimeweza kuisam aratisha leopard2 itakuwa hizo ATGM Kama Kornet zishindwe?
Ka-52 na Mi-28 dawa yake ipo ni MANPADS, mbona husemi hizo helicopters zisitumike. Na hata hivyo Ujerumani haikutengeneza Leopard iwe immortal. Kwa kuwa kuna ajari barabarani, hatuachi kusafiri na gari. Utaamua wewe uachane na vifaru na heavy armour ili infantry wako wapigane exposed au ufanyeje.
 
Lakini hizo Iron Dome bado zilipopolewa na Hezbollah. Kama wachangiaji walivyosema, hakuna real battle ambayo silaha zitakosa kupopolewa kama ambavyo hakuna vita itakosa madhara kwa kila upande haijalishi una nguvu kiasi gani
Acha uongo ww,wakati Vita ya Hezbollah na Israel inatokea Iron dome ilikua bado haijatengenezwa.

Matokeo ya Vita Ile ilikua ni moja ya sababu iliyofanya Israel ianze kufanya research ya kuunda mfumo wa kuzuia maroketi sababu kwenye Ile vita Hezbollah walifyatua maroketi kibao kwenda Israel ambayo yalileta madhara makubwa ikiwemo vifo kwa Raia wa Israel.
 
Kwa nini Ujerumani anasita kupeleka leopard 2 Ukraine

1.Anaogopa kukiuka mikataba aliyo isaini ya vita vya pili ya dunia ya kutojihusisha direct na vita ambavyo inakua na viashiria vya kutokea kwa vita 3 ya dunia.

Ikumbukwe kua Ujerumani katika vita ya 2 ya dunia chini ya Hitler ilitengeneza leopard 2 nyingi sana na kuzisambaza kwa washirika wake ili aweze kushinda vita.Hii ilipelekea Ujerumani kuzalisha kwa wingi leopard 2 na vifaru hivi vilisambaa sana kwa washirika wake wa nchi za ulaya.

Kama Ujerumani itabariki usambazaji wa leopard 2 Ukraine basi itakua imevunja mkataba iliousaini na rasmi Ujerumani itakua imejingiza direct kwenye vita.

2.Utegemezi mkubwa wa nishati wa Ujerumani kwa Russia

Kipindi NATO inaweka vikwazo kwa Russia kutokana na uvamizi wake kule Ukraine, Ujerumani ni moja ya nchi ambayo ilikua inasita kuiwekea vikwazo Russia kutokana na kuwa walikua hawana mbadala wa haraka ili kuweza kuacha na na nishati ya Russia. Marekani kama key member wa NATO bado hana uwezo wa kuziba pengo kama Russia akijitoa katika kusambaza nishaji ujerumani

Kama Russia akijitoa katika kusambaza nishaji kwa Ujerumani hii inaweza kupelekea athari kubwa kiuchumi kama kupanda kwa gharama za maisha kama inavyoshuhudiwa kwa baadhi ya nchi za ulaya (france, Netherlands na Spain) watu wanaandaman kutokana na gharama za maisha kupanda.

Kusita sita kwa Ujerumani kupeleka leopard 2 Ukraine ni ili kumfanya Russia asije akasitisha kupeleka nishati Ujerumani au kupandisha bei ya hiyo nishati kwani ni muhimu sana kwa uchumi wa Ujerumani.

Note. Ujerumani kwa sasa amelegeza vikwazo zidi ya Russia ili iweze kupata nishati kutoka Russia

Kwa nini NATO wanapendekeza matumizi ya leopard 2 Ukraine

1. Leopard 2 ni vifaru vinavyopatikana kwa wingi katika nchi na ulaya. Kwenye vita ya 2 ya dunia Ujerumani alitengeneza kwa wingi leopard 2 na kuzisambaza kwa washirika wake.kutokana na kupatikana kwa wingi basi itakua ni msaada sahihi na wa haraka kwa Ukraine.

2. Leopard ni vifaru vinavyotumia tekinologia ya kisasa katika kushambulia na kujilinda. Leopard 2 ina speed ya 70km per hour. Hii ni speed nzuri sana kwa kifaru kuweza kumshambulia adui. Hili litasaidia Ukraine kuweza kurudisha vikosi vya Russia nyuma na kuweza kukombo miji yao iliyotekwa. Ikumbukwe kua ni vifaru vichache sana vyenye speed ya leopard 2.

Leopard 2 pia inatumia mafuta kidogo ukilinganisha na vifaru vya marekani vya Abram hii inakua na unafuu wa gharama za uendeshaji hasa kwa serikali ya Ukraine ambayo teyari ipo katika changamoto kubwa ya kiuchumi.


NOTE. Upelekaji kwa wingi wa leopard 2 Ukraine pamoja na silaha nyingine za kisasa itakua inachochea kutokea kwa vita ya 3 ya dunia kwa kua Russia na yeye atachukua hatua kubwa zaidi maana silaha hizo zinaweza kumika kushambua ndani ya Russia hususani Kremlin.

NAWASILISHA.
Nakusahihisha
Hakukuwa na Leopard ctank in 1941 kwa kifupi hakukuwa na hiyo tank kwenye vita vikuu vya pili.

Kulikuwa na Tiger I,II na pia Panzer generation.
Screenshot_20230127-004711.jpg
 
T-90M ni ya 2017 mpya kabisa kwa sasa. Tuipe Leopard 2 A8 ya 2010 ambayo ndio mpy, T-90M haiizidi. Sio kwenye detection range, protection wala penetration. T-90M imekamatwa Ukraine na wameenda isoma, humohumo kuna components za makampuni ya Ujerumani. Tena components zenye sanctions kuuzwa RussiaView attachment 2492463View attachment 2492465View attachment 2492467

Tumelinganisha tanks, sio silaha nyingine. Na hizo nyingine ukitaka zilinganishwe nifanye hivi:
Kornet mpinzani wake kwa silaha za Ujerumani ni Panzerfaust 3, light weight ina kilo 14 mtu mmoja anabeba na iko very effectiveView attachment 2492468
Kornet hii hapa lazima ibebwe na watu wawili, ndefu kwenda juu inaonekana na adui kutokea mbali na ina tripod stand kwa sababu ya uzito wake na recoil. Hii sio very mobile, mwenye Pz 3 anafyatua moja anatimua zake mbio ila mwenye Kornet E mpaka afungue nati sijui atoe kitu gani waje wawili wabebe. We mwenyewe linganisha hapoView attachment 2492472

Ka-52 mpizani wake kwenye jeshi la Ujerumani ni Eurocopter Tiger na kampuni zilizoiunda kama Airbus hazina uzoefu wa kutengeneza combat helicopters kwahiyo siiamini sana. Nifanye assumption Ka-52 inaizidi Tiger, ila uko Ukraine performance ya Ka-52 sijaielewa sana na vile hawapendi kuipa smart munitions. Mi-28 na Ka-52 zote ni attack helis.

Smerch na Tornado ni different calibers with almost the same function but with lower precision. Mwenzao kwa Ujerumani ni Mars II ambayo ni M270 version ya Ujerumani. M270 ni kama HIMARS yenye caliber na range ndogo ila yenye rockets nyingi.

Hapa unatetea nchi ambayo precision industry yake ambayo ni muhimu sana kutengenezea silaha inahitaji msaada wa makampuni ya Ujerumani ambayo yamepigwa marufuku kuiuzia Russia critical technologies. Hapa ni still picture imechukuliwa kwenye video ambayo Putin anafanya ziara kiwanda cha kutengeneza silaha cha Kalashnikov concern ambacho kinatumia lathes za DMG Mori, a German-Japanese companyView attachment 2492482
Hakuna tatizo kwenye outsourcing
Sio kwamba Russia alishindwa kuzalisha ila ukifahamu principle za uchumi huwezi kushangaa Hilo.
 
Unazani kwa nini hataki Polans avipeleke Ukrine? Hahaaa vita angamizwa na soko litaishia hapo, Yaani pale Ukrine hakuna nchi inataka ipeleke Silaha zakw ambazo inazioma ni very advance kwa sababu zinaweza haribiwa na soko likaisha
Hata HIMARS tuliambiwa zitabadili mwenendo wa vita (Game changer); lakini tunasikia kipigo kinaendelea tu.
 
Kwa nini Ujerumani anasita kupeleka leopard 2 Ukraine

1.Anaogopa kukiuka mikataba aliyo isaini ya vita vya pili ya dunia ya kutojihusisha direct na vita ambavyo inakua na viashiria vya kutokea kwa vita 3 ya dunia.

Ikumbukwe kua Ujerumani katika vita ya 2 ya dunia chini ya Hitler ilitengeneza leopard 2 nyingi sana na kuzisambaza kwa washirika wake ili aweze kushinda vita.Hii ilipelekea Ujerumani kuzalisha kwa wingi leopard 2 na vifaru hivi vilisambaa sana kwa washirika wake wa nchi za ulaya.

Kama Ujerumani itabariki usambazaji wa leopard 2 Ukraine basi itakua imevunja mkataba iliousaini na rasmi Ujerumani itakua imejingiza direct kwenye vita.

2.Utegemezi mkubwa wa nishati wa Ujerumani kwa Russia

Kipindi NATO inaweka vikwazo kwa Russia kutokana na uvamizi wake kule Ukraine, Ujerumani ni moja ya nchi ambayo ilikua inasita kuiwekea vikwazo Russia kutokana na kuwa walikua hawana mbadala wa haraka ili kuweza kuacha na na nishati ya Russia. Marekani kama key member wa NATO bado hana uwezo wa kuziba pengo kama Russia akijitoa katika kusambaza nishaji ujerumani

Kama Russia akijitoa katika kusambaza nishaji kwa Ujerumani hii inaweza kupelekea athari kubwa kiuchumi kama kupanda kwa gharama za maisha kama inavyoshuhudiwa kwa baadhi ya nchi za ulaya (france, Netherlands na Spain) watu wanaandaman kutokana na gharama za maisha kupanda.

Kusita sita kwa Ujerumani kupeleka leopard 2 Ukraine ni ili kumfanya Russia asije akasitisha kupeleka nishati Ujerumani au kupandisha bei ya hiyo nishati kwani ni muhimu sana kwa uchumi wa Ujerumani.

Note. Ujerumani kwa sasa amelegeza vikwazo zidi ya Russia ili iweze kupata nishati kutoka Russia

Kwa nini NATO wanapendekeza matumizi ya leopard 2 Ukraine

1. Leopard 2 ni vifaru vinavyopatikana kwa wingi katika nchi na ulaya. Kwenye vita ya 2 ya dunia Ujerumani alitengeneza kwa wingi leopard 2 na kuzisambaza kwa washirika wake.kutokana na kupatikana kwa wingi basi itakua ni msaada sahihi na wa haraka kwa Ukraine.

2. Leopard ni vifaru vinavyotumia tekinologia ya kisasa katika kushambulia na kujilinda. Leopard 2 ina speed ya 70km per hour. Hii ni speed nzuri sana kwa kifaru kuweza kumshambulia adui. Hili litasaidia Ukraine kuweza kurudisha vikosi vya Russia nyuma na kuweza kukombo miji yao iliyotekwa. Ikumbukwe kua ni vifaru vichache sana vyenye speed ya leopard 2.

Leopard 2 pia inatumia mafuta kidogo ukilinganisha na vifaru vya marekani vya Abram hii inakua na unafuu wa gharama za uendeshaji hasa kwa serikali ya Ukraine ambayo teyari ipo katika changamoto kubwa ya kiuchumi.


NOTE. Upelekaji kwa wingi wa leopard 2 Ukraine pamoja na silaha nyingine za kisasa itakua inachochea kutokea kwa vita ya 3 ya dunia kwa kua Russia na yeye atachukua hatua kubwa zaidi maana silaha hizo zinaweza kumika kushambua ndani ya Russia hususani Kremlin.

NAWASILISHA.
Mkuu wakati wa Vita kuu hakuna Leopard. Vita Kuu ilikwisha 1945. Leopard ilianza kujengwa kwenye miaka ya 1960, modeli ya kwanza za Leopard 2 ilitoka 1978.
2. Ujerumani haina mikataba ya aina unayotaja. Ukiona tofauti, tafadhali zitaje na weka link!
Ila kwa jumla Wajerumani wanakumbuka historia hawana hamu kuingia katika vita tena. Hivyo walisita sana kupeleka silaha kali sana.
Tunaona kwa jumla nchi za NATO hazileti silaha kali. Ukraine hivyo haipati msaada kupiga vituo ndani ya Urusi ambako makombora yanarushwa dhidi ya miji yake.
Vifaru vinapelekwa Ukraine kwa imani havifai kushambulia Urusi mwenyewe ila kurudisha wavamizi kwenye ardhi ya Ukraine.
 
kwa watu wanaojua technology lazima utakubali kuwa wajeruman ni miongoni mwa engineer bora ktk dunia hatuna mashaka na uwezo wa hizo tank lkn kwa nn kumekuwa na ukakasi wa kutoa huo msaada.Ikumbukwe ya kwamba ni ujeruman pekee ndio anajua kwa nn Russia ni hatar na wanaelewa combat force ya Russia ukirejerea ktk historia Germany wako vizur kwenye battle field lakn ktk WW2 ni Russia pekee ndio walioweza kuwazuia Germany.ukisema sababu ya soko yaan market ya hizo tank hapan koz wanaziuza kwa kuchagua mnunuzi, ukisema technology tayari tank hiz zishauzwa kuna kitu nyuma ya pazia ni kipi?
Ishu sio ubora mkuu, kwanini wapate kigugumizi?
Zelensky ameomba vifaru 300, yeye anapewa 14, hivi kweli hawa jamaa wanamtakia mema? Biden katoa Abra 30, ukijumlisha vinakua 44. haya kwa wanaojua hesabu sawa na asilimia ngapi ya uhitaji hiyo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom