Vifaru chapa leopard vina kitu gani hasa special?

Vifaru chapa leopard vina kitu gani hasa special?

Urusi haina kifaru chochote cha kupambana na Leopald 2 ya Mjerumani wala Challenger 2 ya Mwingereza.

Rekodi ya vifaru vya Western vs Russia/USSR ilipatikana kwenye vita kadhaa. Six Days war Israel ilikuwa na vifaru 800 vya Marekani na Uingereza, Waarabu wana vifaru zaidi ya 2400 wakapigwa navyo kwenye encounters.
Iraq ilikuwa na Soviet made tanks, ikapigwa navyo kwenye tank battles achana na kwenye vita kijumla.

Hatujapata serious tank battle miaka ya hivi karibuni. Na hii misaada haiwezi reflect uwezo mkubwa, UK inapeleka vifaru 12 vya Challenger 2 kujifunza ikitoka hapo ifanye upgrade. Ujerumani au Poland sijui wanatoa vingapi ila sidhani kama hata 50 vitafika
 
Ndio hapo sielewi sasa make Kule Suria vimepigwa moto
Kwani kuna vifaru vya Urusi havijapigwa. Kila vita kupigwa vifaru vya Urusi ni lazima kupigwa. Syria hiyohiyo vifaru vingapi vya Urusi vimepigwa hata modern T-90, hata T-90M ambayo ni latest kwa Russia yenyewe imepigwa hapo Ukraine.

Hizi ni silaha made in Russia zimepigwa hapo Syria, ya kwanza ni T-90 ilipigwa na waasi
2017.11.16-Mayadin-Deir-ez-Zor-1x-destroyed-T-90-ISIS-1of3-1.jpg
2013.02.27-Adra-Damascus-1x-T-72-4x-BMP-1-1x-BVP-1-AMB-S-destroyed-1-1-1-1200x800.jpg
 
Kwani kuna vifaru vya Urusi havijapigwa. Kila vita kupigwa vifaru vya Urusi ni lazima kupigwa. Syria hiyohiyo vifaru vingapi vya Urusi vimepigwa hata modern T-90, hata T-90M ambayo ni latest kwa Russia yenyewe imepigwa hapo Ukraine.

Hizi ni silaha made in Russia zimepigwa hapo Syria, ya kwanza ni T-90 ilipigwa na waasiView attachment 2489235View attachment 2489236
Vifaru kupigwa sio ajabu wala la kushangaza.....ila hivi vipya vya Urusi T14 Armata hatukuviona kwa wingi Sana hapo Ukraine au walizalisha vichache tu ?.....nahisi Ukraine watapewa Leopold na Challenger za kizazi cha pili, hizi za kisasa zilizofanyiwa upgrade itachukua muda kidogo kupewa.

Ila vifaru vya China vimetumika Sana na nchi gani mpaka Sasa?....havijawa battle tested kabisa...na sio rahisi Urusi kupewa hivi.
 
Vifaru kupigwa sio ajabu wala la kushangaza.....ila hivi vipya vya Urusi T14 Armata hatukuviona kwa wingi Sana hapo Ukraine au walizalisha vichache tu ?.....nahisi Ukraine watapewa Leopold na Challenger za kizazi cha pili, hizi za kisasa zilizofanyiwa upgrade itachukua muda kidogo kupewa.

Ila vifaru vya China vimetumika Sana na nchi gani mpaka Sasa?....havijawa battle tested kabisa...na sio rahisi Urusi kupewa hivi.
China haiuzi main battle tanks zake na hata kwenye capabilities zilizoandikwa hizo tanks hazijafika level ya Western counterparts. Wachina wanatengeneza export version kabisa kabisa na ni wasiri sana kuhusu uwezo wa vifaru vyao, hawafanyi downgrade ya thier versions. Ila speed ya China kuziba technology gap ni kubwa.

Yani badala wakuuzie latest MBT yao Type 99 wanakuuzia latest tank for export market, VT-4 ambayo hawaitumii hata, Tanzania tuna VT-2 chache na Chad nimeona wanazo. Wakati Russia hapo inakuuzia T-72 au T-90 iliyopunguzwa vitu fulani. Western countries hawakuuzii vifaru kirahisi. Na wakikuuzia wanaondoa hasa hasa armour ya nje (UK ni wagumu kukuuzia Chobham armour na Marekani kisheria hairuhusiwi armour yao yenye depleted uranium na classified materials nyingine kupelekwa nje) na hawakupi zile shells muhimu kama APFSDS wanakuachia za kawaida kama HEAT. Pia wanaweza ondoa active protection system. Israel haiwezi kukuuzia Trophy APS labda nchi kama mbili tu UK na US, wanunuaji maarufu kama India waking'ang'ania watatengenezewa export version yao. Wala Russia haiwezi kukuuzia Shtora-1 au Arena kienyeji.

Ni either wakupe version ya zamani miaka hata 20 uko au wakupe export version kama ipo. Kama hakuna export version unawasumbua waanze kuchomoa vitu fulani
 
Kwani kuna vifaru vya Urusi havijapigwa. Kila vita kupigwa vifaru vya Urusi ni lazima kupigwa. Syria hiyohiyo vifaru vingapi vya Urusi vimepigwa hata modern T-90, hata T-90M ambayo ni latest kwa Russia yenyewe imepigwa hapo Ukraine.

Hizi ni silaha made in Russia zimepigwa hapo Syria, ya kwanza ni T-90 ilipigwa na waasiView attachment 2489235View attachment 2489236
Kama mnamtegemea huyu bwege sijui T14 Armata ndio mtaalamu wenu wa zana za kivita POLENI SANA
 
Kama mnamtegemea huyu bwege sijuai T14 Armata ndio mtaalamu wenu wa zana za kivita POLENI SANA
Hii comment hata kilaza aliyefeli mtihani wa chekechea anaweza andika. Onyesha ukubwa wako kiakili, kama huwezi changia vitu kama hivi tafuta unachoweza kuna nyuzi za kina Amber Ruty unaweza onyesha uzoefu wako kule.
Hapa hakuna kitu unaambuliwa, na hakuna kitu unaweza changia. Main context ya comment yako hata ikiwekwa uzi wa kupika vitumbua inaweza fit.

Kuwa serious with facts ukipinga. Usiwe Khadija Kopa
 
Ndio sababu hataki kuvipeleka Ukrine?
Ujerumani haijawahi tengeneza vifaru kwa ajili ya Ukraine. Na haijawahi uza vifaru kwa nchi ili iipatie Ukraine. Ni kitu cha kujadiliana sio kufyatuka tu kama watu walioamua wavamie Ukraine wakaenda kichwa kichwa.

Hivyo vifaru vitaenda sijui utasema nini
 
Wabongo bhana ya ndani tu hauyajui hata utaratibu wa mapato na faida za kodi unazokatwa hujui alafu unataka kujua vifaru vya huko ujerumani😂😂😂😂
Unajua maana ya jukwaa la kimataifa ww popoma?
Umefata nn huku?
Ulitaka tuandike huku habari zako za chitoholi na tukuyu?
Papasi kabisa ww
 
Urusi haina kifaru chochote cha kupambana na Leopald 2 ya Mjerumani wala Challenger 2 ya Mwingereza.

Rekodi ya vifaru vya Western vs Russia/USSR ilipatikana kwenye vita kadhaa. Six Days war Israel ilikuwa na vifaru 800 vya Marekani na Uingereza, Waarabu wana vifaru zaidi ya 2400 wakapigwa navyo kwenye encounters.
Iraq ilikuwa na Soviet made tanks, ikapigwa navyo kwenye tank battles achana na kwenye vita kijumla.

Hatujapata serious tank battle miaka ya hivi karibuni. Na hii misaada haiwezi reflect uwezo mkubwa, UK inapeleka vifaru 12 vya Challenger 2 kujifunza ikitoka hapo ifanye upgrade. Ujerumani au Poland sijui wanatoa vingapi ila sidhani kama hata 50 vitafika
Dah kweli ujuaji ukizidi unakuwa ujinga ivi unaweza kucompare vifaru vya Russia kwenye vita kama six day war na ile vita ya ukrein vita ambazo zilielemea upande mmoja vita ambazo mataifa makubwa kiuchumi, kivita na kisalaha yaliungana kuwachapa nchi zisizokuwa na mbinu kubwa za kivita ni kama Leo hii uanzee kusema Libya silaha zake siyo nzuri kuzidi za marekani au Ufaransa kweli kwa ugumu gani wa vita walioupata battle gani ngumu walikutana nayo kwenye vita izo challenge na Abraham na leopard ngoja ziendee ukrein maana pale ndyo uwanja wa vita sahihi siyo vita vya waarabu. Marekani hawezi kusahau vita ya Vietnam, au vita ya Korea maana baada ya vita ya pili ya dunia izo ndyo vita vilimtoa jashoo na askari na vifaa vingi viliaribika alafu vifaa vitani vifaa vinatengenezwa ili kuaribika kwenye vita ngumu si rahisi kuzuia vifaa kuaribika au kulipuliwa huwezi kuzuia iloo ni mjinga pekee atakayedhani vifaa vitarudi vyote
 
China haiuzi main battle tanks zake na hata kwenye capabilities zilizoandikwa hizo tanks hazijafika level ya Western counterparts. Wachina wanatengeneza export version kabisa kabisa na ni wasiri sana kuhusu uwezo wa vifaru vyao, hawafanyi downgrade ya thier versions. Ila speed ya China kuziba technology gap ni kubwa.

Yani badala wakuuzie latest MBT yao Type 99 wanakuuzia latest tank for export market, VT-4 ambayo hawaitumii hata, Tanzania tuna VT-2 chache na Chad nimeona wanazo. Wakati Russia hapo inakuuzia T-72 au T-90 iliyopunguzwa vitu fulani. Western countries hawakuuzii vifaru kirahisi. Na wakikuuzia wanaondoa hasa hasa armour ya nje (UK ni wagumu kukuuzia Chobham armour na Marekani kisheria hairuhusiwi armour yao yenye depleted uranium na classified materials nyingine kupelekwa nje) na hawakupi zile shells muhimu kama APFSDS wanakuachia za kawaida kama HEAT. Pia wanaweza ondoa active protection system. Israel haiwezi kukuuzia Trophy APS labda nchi kama mbili tu UK na US, wanunuaji maarufu kama India waking'ang'ania watatengenezewa export version yao. Wala Russia haiwezi kukuuzia Shtora-1 au Arena kienyeji.

Ni either wakupe version ya zamani miaka hata 20 uko au wakupe export version kama ipo. Kama hakuna export version unawasumbua waanze kuchomoa vitu fulani
Nadhani ndio mana hata Israel akinunua ndege toka Marekani, anaweka vifaa vyake vilivyotengenezwa nchini mwake. (Customization)
 
Dah kweli ujuaji ukizidi unakuwa ujinga ivi unaweza kucompare vifaru vya Russia kwenye vita kama six day war na ile vita ya ukrein vita ambazo zilielemea upande mmoja vita ambazo mataifa makubwa kiuchumi, kivita na kisalaha yaliungana kuwachapa nchi zisizokuwa na mbinu kubwa za kivita ni kama Leo hii uanzee kusema Libya silaha zake siyo nzuri kuzidi za marekani au Ufaransa kweli kwa ugumu gani wa vita walioupata battle gani ngumu walikutana nayo kwenye vita izo challenge na Abraham na leopard ngoja ziendee ukrein maana pale ndyo uwanja wa vita sahihi siyo vita vya waarabu
Huyo jamaa ni mwehu, cha kusikitisha kuna watu ndio wanamtegemea kama mtaalamu wao wa mambo ya silaha za kivita
 
Kwani kuna vifaru vya Urusi havijapigwa. Kila vita kupigwa vifaru vya Urusi ni lazima kupigwa. Syria hiyohiyo vifaru vingapi vya Urusi vimepigwa hata modern T-90, hata T-90M ambayo ni latest kwa Russia yenyewe imepigwa hapo Ukraine.

Hizi ni silaha made in Russia zimepigwa hapo Syria, ya kwanza ni T-90 ilipigwa na waasiView attachment 2489235View attachment 2489236
Hapa hoja sio vifaru vya Urusi ni bora kuliko hivyo vya Ujerumani bali hoja ni je vina maajabu yeyote ya kubadilisha hali kwenye uwanja wa vita?
 
Dah kweli ujuaji ukizidi unakuwa ujinga ivi unaweza kucompare vifaru vya Russia kwenye vita kama six day war na ile vita ya ukrein vita ambazo zilielemea upande mmoja vita ambazo mataifa makubwa kiuchumi, kivita na kisalaha yaliungana kuwachapa nchi zisizokuwa na mbinu kubwa za kivita ni kama Leo hii uanzee kusema Libya silaha zake siyo nzuri kuzidi za marekani au Ufaransa kweli kwa ugumu gani wa vita walioupata battle gani ngumu walikutana nayo kwenye vita izo challenge na Abraham na leopard ngoja ziendee ukrein maana pale ndyo uwanja wa vita sahihi siyo vita vya waarabu. Marekani hawezi kusahau vita ya Vietnam, au vita ya Korea maana baada ya vita ya pili ya dunia izo ndyo vita vilimtoa jashoo na askari na vifaa vingi viliaribika alafu vifaa vitani vifaa vinatengenezwa ili kuaribika kwenye vita ngumu si rahisi kuzuia vifaa kuaribika au kulipuliwa huwezi kuzuia iloo ni mjinga pekee atakayedhani vifaa vitarudi vyote
Ukiwa mweupe kichwani unasingizia mwenzako mjuaji.

Kwenye vifaru tunalinganisha tank battle, sio vita nzima. Tank battle haina habari za nani anamiliki ndege nyingi na nani ana meli za kivita. Vifaru vimekutana bila support ya attack helicopters, ground attack jets wala melivita. Hapo ndio kipimo sahihi provided everything remain constant na tunalinganisha numbers between opponents, years of production, training na vitu vingine. Kwahiyo Waarabu ni matahahira walioenda kupambana na Israel wakijua ana supporters wenye nguvu, mbona USSR iliwapa support nao au unakubali yenyewe ni inferior?

Israel iliwapiga single handed hakuna mwanajeshi wa Marekani, UK wala Ufaransa alikanyaga frontline. Silaha Waarabu walinunua na wakakopa kama ambavyo Israel ilinunua na kukopa na kupewa. Hakuna kisingizio.

Walivyoenda kwenye tank battles Israel ilikuwa na Centurion za Uingereza na M48 Patton za Marekani, Waarabu walikuwa na T-55. M48 imeanza kutumika 1952, Centurion imeanza 1948, T-55 imeanza production mwaka 1954 na service jeshini USSR ikaanza 1955. Hivyo vifaru si unaona years of production zinakaribiana, sasa mikwara ya sijui nani ana uchumi inakusaidia nini, GDP ndio inafyatua cannon ya kifaru?

Tukiachana na Six Days war tuje Ukraine. Mwanzo wakati Russia inavamia kabla silaha yoyote ya West ya misada haijafika Russia ilifanya bombardment kwa 1st Tank Brigade. Hapo ni 24 February 2022, vifaru vya Urusi vikaingia ndani ya Ukraine. 1st Tank Brigade ya Ukraine ikajipanga kwenye Battle of Chernihiv na kukutana na 41st Combined Army ya Russia, hapo Russia inawa-outnumber many times. Ukraine ikiwa na T-64BM imefanya modification yenyewe kutoka Soviet T-64, kuna vifaru vilikuwa ordered na DRC vikazuiwa kwenda wakavitumia. Russia vifaru vyao unavijua, modified T-64s, T-72, T-90 na kipindi hicho T-90M the most latest Russian tank haijaletwa vitani. Warusi wakapigwa na hapo wana latest tanks.

Warusi walikuwa 60km from taking Kyiv, msingekuwa hapa mnalialia misaada ya West imesaidia Ukraine. Kabla ya misaada mlifeli wenyewe visingizio havina tija.

Na kuhusu Libya, hakukuwa na tank battles. No tank can survive air attack or artillery strike, hakuna haja ya kuitaja Libya wala Syria hapa.
 
Hapa hoja sio vifaru vya Urusi ni bora kuliko hivyo vya Ujerumani bali hoja ni je vina maajabu yeyote ya kubadilisha hali kwenye uwanja wa vita?
Hapo nilikuwa najibu comment ambayo haikuwa inajibu wala kuuliza hoja yako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom