3 Angels message
JF-Expert Member
- Aug 3, 2017
- 4,888
- 13,623
Itakuwa bei ilikuwa 100,000 lkn kutokana na upungufu wa manyoya katoa 30,000Pamoja na uhaba wote huo wa manyoya?
Itakuwa bei ilikuwa 100,000 lkn kutokana na upungufu wa manyoya katoa 30,000Pamoja na uhaba wote huo wa manyoya?
Mi nawapenda ukiwa nao kuku wa jirani hawakusumbui kupiga piga kuku wako, jogoo kuchi ndo anakuwa mwenye kijiji. Hapigwi, nq watetea hivyo hivyo, kazi kazi, wanatoa vichapo vya hatari kwa kuku wengine.Ni aina ya kuku ambao ukiweza kuwakuza na kuwatunza vizuri wanadeal mjini si wa kisasa ila ni wakienyeji.
Mkuu 70, 000 nikienda handeni napata mbuzi watatu. Nikija nao mjini nauza 70,000×3=210, 000.Mkuu Ukiwa na Mawazo hayo Uthubutu kwako utakua Ziro siku zote
Mkuu nipo mkoa jirani hapa..vp unaweza changanya na kuku Wa kawaida? tukikubaliana naitaji jike na dume yan wawili tuKufa ni jambo la kawaida kila kitu kinakufa
Labda kwao huko wanapatikana kwa tochi.Elfu 70??? Kuku??
Hata kuku wa rangi ya pinki hqwafukii hiyo bei.
Natafuta jogoo mmoja kuchi na watetea wa kawaida kazi imeisha!
Hahahashikamoh!!
Mkuu upo Arusha sehemu gani na hao vifaranga wanaumri gani pia kama nataka pea moja utanipozeaje!?Habari za Jumapili...
Vifaranga Vya Kuchi Vipo sokoni....Vina miezi 4 paka sasa
View attachment 594691
....Duuh kwa huku nilipo hiyo bei wapata mbuzi wawili saafiii