Marire
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 12,326
- 5,266
Wakuu salaam Sana,
Baada ya kuchoshwa na ajira nikaamua nirekebishe maBanda nianze kufuga Hawa kuku wa week nne (broilers) ila Sasa nimekuja kukwama baada ya kusaka vigaranga bila mafanikio na kuna makampuni ukiwapigia wanakuambia hawana vifaranga ila utasikia siku flani wameuza Sasa siajua wanatumia upendeleo gani?
Na baadhi ya wafugaji wanasema wananunua kwa bei ya juu tofauti na bei ya kampuni wanavyouza.
Kingine Cha kushangaza Bei nayo ya chakula imepanda sana, sasa najiuliza serekali inavyotuambia tujiajiri inakuwa na maana gani ? Kila siku wanaongeza tozo tu bila kuangalia athari.
Baada ya kuchoshwa na ajira nikaamua nirekebishe maBanda nianze kufuga Hawa kuku wa week nne (broilers) ila Sasa nimekuja kukwama baada ya kusaka vigaranga bila mafanikio na kuna makampuni ukiwapigia wanakuambia hawana vifaranga ila utasikia siku flani wameuza Sasa siajua wanatumia upendeleo gani?
Na baadhi ya wafugaji wanasema wananunua kwa bei ya juu tofauti na bei ya kampuni wanavyouza.
Kingine Cha kushangaza Bei nayo ya chakula imepanda sana, sasa najiuliza serekali inavyotuambia tujiajiri inakuwa na maana gani ? Kila siku wanaongeza tozo tu bila kuangalia athari.