Nazalisha vifaranga chotara wanaovumilia magonjwa nakutaga mayai mengi mpka mayai 45 kabla ya kutamia 0755387681
Inawezekana?mayai 45 hiyo safi sana na mimi nataka weka picha kabla sijaingia hasara za kukupigia
mimi sioni cha ajabu kuku kutaga kuku kabla ya kuatamia kwa sababu mleta hoja hajasema hayo mayai anayataga kwa muda gani, you never know inawezekana ikawa ni miezi 3!!
Nazalisha vifaranga chotara wanaovumilia magonjwa nakutaga mayai mengi mpka mayai 45 kabla ya kutamia 0755387681