Bwana Kitomari nakufahamu vema sana, nilishakuja kwako miaka miwili iliyopita mkuu kwania ya kununua vifaranga na ukaniambia mpaka kwa oda. Ilikuewa ni vifaranga vya kawaida tu! Naona sasa umeendelea zaidi! Wakati ule ulikuwa ukiuguza majeraha baada ya kuvamiwa na majambazi! So ni kweli unachosema naamini thread hii ni ya kweli wanajamvi!!!!!!