Bei yako iko juu sana, china kitchen set ya restaurant ndogo unapata for $ 3,000 na hapo kunakuwa na vifaa vingi sana included, hivi vifaa vyako hata $ 600 haifiki.
mkuu uko wapi-mkoa? Dooh hapa ukiuza kitu jf inabidi uwe na roho ngumu kama ya paka unaweza kutukana bila kukusudia!
WAKUU,
Nimefunga mgahawa wangu na ninauza vifaa kama vifuatavyo na vimetumika miezi 6. List ni kama ifuatavyo:
1. GAS GRIDDLE 3 BURNER
2. GAS GRIDDLE 2 BURNER
3. FRYER
4. ORYX GAS TOP COOKER
5. COMMERCIAL EXHAUST FAN
6. WALL FAN
7. FRIDGE WITH FREEZER
8. OPEN WELCOME LED LIGHT BOARD
9. KILL PEST
10. TABLE.
NAUZA VITU VYOTE KWA PAMOJA BEI: 3M
NI PM KAMA UNAHITAJI NA UKO SERIOUS.
Naona mumekomaa. Haya na hii mushindwe 2.3 M for everything...
Tarehe 5/12 ulianza hivi, angalia RED
Baada ya siku moja yaani tarehe 6/12 ukaja na hii
For less than 12hrs ulikuwa unataka kuwaibia watanzania wenzako takribani sh. laki saba 700,000.
Vifaa vyako gharama yake si zaidi ya million moja na laki mbili 1,200,000, otherwise endelea tuu na restaurant yako
Silence is a good answer or a F***.... Kama unaona nilitaka kuwaibia hayaa... njoo uone risiti nilivonunulia mimi alafu utajua kama nimetaka kuwaibia au vp... Anyways anaetaka atanunua asietaka basii hatulazimishani hapa...