LUS0MYA
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 862
- 1,097
Hivi karibuni shirika la umeme nchini na kwa tamko la serikali limerudisha viwango vya kuunganisha umeme vya zamani na kuondoa kile kiwango cha 27 000/= kwa kigezo kuwa kiwango hakiakisi gharama halisi.
Maswali kwa Tanesco na Waziri Makamba,
1. Vifaa vinavyonunuliwa kwa fedha ya mteja ni mali ya mteja au Tanesco? Jibu ni mali ya Tanesco ndiyo ukishalipia nguzo huna ruhusa ya kuitoa au kuzuia mteja mwingine kuitumia. Hivyo basi mita, waya, nguzo nk ni asset za Tanesco na zinaonekana katika mizania ya tanesco ingawa kimsingi mtaji ni wa mteja!! Kifupi Tanesco inachukua mtaji kutoka kwa mteja kinyemela.
TANESCO inatakiwa kurudisha gharama ya awali ya 27,000/= na serikali iwajibike kuipa mtaji maana ni mali yake kwa 100%.
Kama serikali haina mtaji basi haya malipo anayofanya mteja kwa gharama mpya arudishiwe hata kama kwa njia za units za umeme.
Maswali kwa Tanesco na Waziri Makamba,
1. Vifaa vinavyonunuliwa kwa fedha ya mteja ni mali ya mteja au Tanesco? Jibu ni mali ya Tanesco ndiyo ukishalipia nguzo huna ruhusa ya kuitoa au kuzuia mteja mwingine kuitumia. Hivyo basi mita, waya, nguzo nk ni asset za Tanesco na zinaonekana katika mizania ya tanesco ingawa kimsingi mtaji ni wa mteja!! Kifupi Tanesco inachukua mtaji kutoka kwa mteja kinyemela.
TANESCO inatakiwa kurudisha gharama ya awali ya 27,000/= na serikali iwajibike kuipa mtaji maana ni mali yake kwa 100%.
Kama serikali haina mtaji basi haya malipo anayofanya mteja kwa gharama mpya arudishiwe hata kama kwa njia za units za umeme.