lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,571
- 35,484
Halafu anashindwa,😃US anapigana vita kwa kutumia akili sheikh
Halafu anashindwa,😃US anapigana vita kwa kutumia akili sheikh
Hyo picha ni photoshop hyo b52 inachukua eneo kubwa sana mpk ipae hapo haiwezekani hata siku moja halafu hzo carrier sio km russia hawezi kutengeneza hila ni risk zaidi labda upambane na nchi ambazo hazina technology kubwa ya makombora lakini hapo ikipgwa iskander moja wote wanazama na meli zaoHawa jamaa kuwafikia ni safari.
Wenyewe wanasema haijawahi kutokea jeshi lenye nguvu duniani kama la Marekani katika history ya dunia
Yametokea majeshi mengi sana ktk historia ya dunia kama waajemi, waamedi, warumi, wamisri, lakini jeshi la USA ndo jeshi lenye nguvu katika historia ya dunia.
Ni kweli check hilo dude hapo
View attachment 2884637
Hawa jamaa kuwafikia ni safari.
Wenyewe wanasema haijawahi kutokea jeshi lenye nguvu duniani kama la Marekani katika history ya dunia
Yametokea majeshi mengi sana ktk historia ya dunia kama waajemi, waamedi, warumi, wamisri, lakini jeshi la USA ndo jeshi lenye nguvu katika historia ya dunia.
Ni kweli check hilo dude hapo
View attachment 2884637
Kama somalia na AfghanistanUS anapigana vita kwa kutumia akili sheikh
YesKama somalia na Afghanistan
Teknolojia inazidi kukua sana siku hiziMoja ya ndege ya kipuuzi ni hiyo B52 kwanza ni kubwa zito halina monuverbility yeyote
Kushindwa au kushinda ni swala subjectieveHalafu anashindwa,😃
Hajui kama hiyo ni editMkuu sema basi kama unatania. Yaani B-52 juu ya meli?
Nakala iwafikie TUJITEGEMEE Gagnija lee Vladimir cleef T14 Armata Bwana Utam MK254Hawa jamaa kuwafikia ni safari.
Wenyewe wanasema haijawahi kutokea jeshi lenye nguvu duniani kama la Marekani katika history ya dunia
Yametokea majeshi mengi sana ktk historia ya dunia kama waajemi, waamedi, warumi, wamisri, lakini jeshi la USA ndo jeshi lenye nguvu katika historia ya dunia.
Ni kweli check hilo dude hapo
View attachment 2884637
Sidhani kama ndio jeshi lenye nguvu sababu hakuna kipimo, yaani kwa miaka ya sasa hivi kila jeshi likionesha nguvu na uwezo wake kwenye vita dunia inafikia mwisho wake pana kuwa ni lose-lose hakuna mshindi so comparison ni uselessHawa jamaa kuwafikia ni safari.
Wenyewe wanasema haijawahi kutokea jeshi lenye nguvu duniani kama la Marekani katika history ya dunia
Yametokea majeshi mengi sana ktk historia ya dunia kama waajemi, waamedi, warumi, wamisri, lakini jeshi la USA ndo jeshi lenye nguvu katika historia ya dunia.
Ni kweli check hilo dude hapo
View attachment 2884637
Inaelekea hujui historia ya jeshi la marekani Ila unajitia kujuaYes
USA hapigani vita kwenye aridhi yake au kupigana Direct
Atatumia NATO, UN, Nchi washirika, Waasi au kikosi kidogo tu cha wajeda wake kuendesha operations kama vile alifanya Somalia
Swala la nani MSHINDI ni issue nyingine mtambuka sana
B 52 haiwezi ruka wala kutua kwenye Carrier usiwe unadanganywa na fotoshop kama mtoto[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hawa jamaa kuwafikia ni safari.
Wenyewe wanasema haijawahi kutokea jeshi lenye nguvu duniani kama la Marekani katika history ya dunia
Yametokea majeshi mengi sana ktk historia ya dunia kama waajemi, waamedi, warumi, wamisri, lakini jeshi la USA ndo jeshi lenye nguvu katika historia ya dunia.
Ni kweli check hilo dude hapo
View attachment 2884637
Wakisikia Wagner wapo mpakani mwao basi wote watakimbia na machuma chuma yao hayo watayatelekeza.Hawa jamaa kuwafikia ni safari.
Wenyewe wanasema haijawahi kutokea jeshi lenye nguvu duniani kama la Marekani katika history ya dunia
Yametokea majeshi mengi sana ktk historia ya dunia kama waajemi, waamedi, warumi, wamisri, lakini jeshi la USA ndo jeshi lenye nguvu katika historia ya dunia.
Ni kweli check hilo dude hapo
View attachment 2884637
Nitajie vita 2 tu alizopigana kwa akiliUS anapigana vita kwa kutumia akili sheikh
Hio aircraft inazamishwa na drone za $5,000 😂😂🙌🏿. Hizo toy ukipelekea nchi yenye uwezo haitoboi inakuwa majivuWakisikia Wagner wapo mpakani mwao basi wote watakimbia na machuma chuma yao hayo watayatelekeza.
Afghanistan wameingia ukoo mzima ila mwisho wa siku wamekimbia.
Mwanaume kaingia Syria peke yake mpaka leo hii Assad yupo na Islamic state haisikiki tena.
Hapo hakuna jeshi bali ni jeshi la mashoga
USA akbar..Takbir US
😅🤣😄USA akbar..