999 chatta
JF-Expert Member
- Apr 17, 2020
- 917
- 1,702
We biology Yako mtu mweusi inasemaje??Wazungu ndio waliosema wewe chimbuko lako nyani. Biology ya wazungu hio
We biology Yako mtu mweusi inasemaje??Wazungu ndio waliosema wewe chimbuko lako nyani. Biology ya wazungu hio
Mimi muislam. Niulize uislam unasemaje kuhusu hiliWe biology Yako mtu mweusi inasemaje??
Wewe ni muislamu na siyo muafrika??Mimi muislam. Niulize uislam unasemaje kuhusu hili
Sijui ukiristo unasemaje. Lkn uislam unasema wewe na mimi tumeumbwa kutokana na manii yalioza na kunuka. Asili yetu ni udongoWewe ni muislamu na siyo muafrika??
Uislamu wako unasema tofauti na ukristo katika uumbaji??
Haaa!Nilitegemea watumie nguvu zao na ushawishi wao kumbonda bonda urusi na Irani, lakini naona nawao wanahofu.
HaaaaHyo picha ni photoshop hyo b52 inachukua eneo kubwa sana mpk ipae hapo haiwezekani hata siku moja halafu hzo carrier sio km russia hawezi kutengeneza hila ni risk zaidi labda upambane na nchi ambazo hazina technology kubwa ya makombora lakini hapo ikipgwa iskander moja wote wanazama na meli zao
Historia ya kale inasema, Anunaki walivyokuja duniani waliwakuta viumbe (binadamu) katika form ya homoeructas (nyani/sokwe). Wakawafanyia genetic manipulation kwa kutumia DNA zao, akapatikana binadamu wa leo (homosapiens)Sijui ukiristo unasemaje. Lkn uislam unasema wewe na mimi tumeumbwa kutokana na manii yalioza na kunuka. Asili yetu ni udongo
Tayari mtoa mada ameshaanza kukosolewa kwa picha ya uongo.Nakala iwafikie TUJITEGEMEE Gagnija lee Vladimir cleef T14 Armata Bwana Utam MK254
Japo hiyo picha sio ya ukweli, hakuna carrier ya kubeba bombers kubwa hivyo.