Hii ofisi ilikuwa imekaa kibabe sana1. Msumeno wa kukatia nyama wa umeme brand ya capital 800w (maelezo zaidi kwenye picha) uko na extra blade - 1.5m
2. Chest Freezer kubwa aina ya Snowsea ina glass za kusukuma kwa ndani na ina milango miwili- 950k
3. Chest freezer ndogo aina ya Snowsea 350k
4. Ac ya hisense 9000btu complete 500k
5. Meza (Stainless steel) 150k
6. Mashine ya kusagia nyama 100k
Pia kuna mlango wa aluminium mkubwa, bomba stainless steel ya kutundikia nyama pamoja na hooks zake
Mawasiliano ni 0757558111, Mazungumzo yatakuwepo Butcha lipo Maeneo ya Kawe, Lugalo Ukitaka butcha zima na frame pia tunakuuzia.
1. Msumeno wa kukatia nyama wa umeme brand ya capital 800w (maelezo zaidi kwenye picha) uko na extra blade - 1.5m
2. Chest Freezer kubwa aina ya Snowsea ina glass za kusukuma kwa ndani na ina milango miwili- 950k
3. Chest freezer ndogo aina ya Snowsea 350k
4. Ac ya hisense 9000btu complete 500k
5. Meza (Stainless steel) 150k
6. Mashine ya kusagia nyama 100k
Pia kuna mlango wa aluminium mkubwa, bomba stainless steel ya kutundikia nyama pamoja na hooks zake
Mawasiliano ni 0757558111, Mazungumzo yatakuwepo Butcha lipo Maeneo ya Kawe, Lugalo Ukitaka butcha zima na frame pia tunakuuzia.
Dah office kali Sana,, Kuna nini mkuu au biashara ngumu,, mbona ilikuwa kali Sana.1. Msumeno wa kukatia nyama wa umeme brand ya capital 800w (maelezo zaidi kwenye picha) uko na extra blade - 1.5m
2. Chest Freezer kubwa aina ya Snowsea ina glass za kusukuma kwa ndani na ina milango miwili- 950k
3. Chest freezer ndogo aina ya Snowsea 350k
4. Ac ya hisense 9000btu complete 500k
5. Meza (Stainless steel) 150k
6. Mashine ya kusagia nyama 100k
Pia kuna mlango wa aluminium mkubwa, bomba stainless steel ya kutundikia nyama pamoja na hooks zake
Mawasiliano ni 0757558111, Mazungumzo yatakuwepo Butcha lipo Maeneo ya Kawe, Lugalo Ukitaka butcha zima na frame pia tunakuuzia.
bora tu aifunge maana location iliyopo hakuna mzunguko wa biashara kabisa,, alf anaingia gharama kubwa kulipia kodi plus umeme,,, ofisi naifaham ni miongoni mwa zile frame za LugaloOfisi nzuri,mali nzuri kwanini unauza mkuu ungeacha vijana waendelee kupata ridhiki
Ahaa Maana office mzuri unajiuliza shida nini!! kumbe location.bora tu aifunge maana location iliyopo hakuna mzunguko wa biashara kabisa,, alf anaingia gharama kubwa kulipia kodi plus umeme,,, ofisi naifaham ni miongoni mwa zile frame za Lugalo
ndio, hiyo location inawafaa wale wanaofanya online business ukitegemea wapitanjia hautoboi walahAhaa Maana office mzuri unajiuliza shida nini!! kumbe location.
Duh 🤔 😭ndio, hiyo location inawafaa wale wanaofanya online business ukitegemea wapitanjia hautoboi walah
usilie Luna ndugu yangu mmoja alibambikiwa ofisi maeneo hayo huyo alomuuzia alimpanga kwamba amehamishwa kikazi so ofisi inabaki bila usimamizi ndo maana anauza, si akajaa kwenye system kumbe shida ni hamna wateja,, kodi 500k per month bado hizo bill za umeme alfu mauzo 20k per day na bado anatakiwa amlipe mfanyakaziDuh 🤔 😭
Alooo huyo aliyavagaa Sana , na utasikia kauli za "nimehamishwa kikazi" ili ujichanganye ujae kwenye mfumo looh!!usilie Luna ndugu yangu mmoja alibambikiwa ofisi maeneo hayo huyo alomuuzia alimpanga kwamba amehamishwa kikazi so ofisi inabaki bila usimamizi ndo maana anauza, si akajaa kwenye system kumbe shida ni hamna wateja,, kodi 500k per month bado hizo bill za umeme alfu mauzo 20k per day na bado anatakiwa amlipe mfanyakazi
kabisa,, saivi ndo wanafanya hivyo,, waja sio watu wazuriAlooo huyo aliyavagaa Sana , na utasikia kauli za "nimehamishwa kikazi" ili ujichanganye ujae kwenye mfumo looh!!
Mtu mweusi ukilitimba kila sector laana tup an.kabisa,, saivi ndo wanafanya hivyo,, waja sio watu wazuri
Nlishawahi ingia kwenye mfumo hvo hvo kinondoni ila ni nyumba za kupanga, Pale changamoto ilikua maji hayatoki + vibaka wale wa madirishani, nlikula hasara bahati nzuri nkatafuta mtu na mimi nkamuachia msalausilie Luna ndugu yangu mmoja alibambikiwa ofisi maeneo hayo huyo alomuuzia alimpanga kwamba amehamishwa kikazi so ofisi inabaki bila usimamizi ndo maana anauza, si akajaa kwenye system kumbe shida ni hamna wateja,, kodi 500k per month bado hizo bill za umeme alfu mauzo 20k per day na bado anatakiwa amlipe mfanyakazi