Views 217, Replies 4...?????!

Views 217, Replies 4...?????!

Mkwaruzo

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2011
Posts
563
Reaction score
98
Habari zenu wapendwa na wapenzi wa jamvi hili. Kuna kitu kidogo nimekiona katika jukwaa hili hivyo nimeamua kukiweka hapa ili kujuwa ni kwa nini kinatokea. Naamini jamvi hili linapendwa na wengi hasa kwa kuona view nyingi katika kila post, lkn ni kwanini replie zinakuwa kidogo? Je post zinakuwa chini ya viwango au ni nini hasa kinachosababisha hivi? Au ndiyo vidole vinakosa nguvu za kuandika kutokana na mbavu kuvunjika baada ya kusoma? Replies zinatia moyo jamani...
 
Habari zenu wapendwa na wapenzi wa jamvi hili. Kuna kitu kidogo nimekiona katika jukwaa hili hivyo nimeamua kukiweka hapa ili kujuwa ni kwa nini kinatokea. Naamini jamvi hili linapendwa na wengi hasa kwa kuona view nyingi katika kila post, lkn ni kwanini replie zinakuwa kidogo? Je post zinakuwa chini ya viwango au ni nini hasa kinachosababisha hivi? Au ndiyo vidole vinakosa nguvu za kuandika kutokana na mbavu kuvunjika baada ya kusoma? Replies zinatia moyo jamani...
Ndio maana yake, na ndio sababu utakuta majibu yanakuwa haaaaa, tehetee tehe, umenivunja mbavu, umefanya siku yangu nzuri nk. hivyo usivunjike moyo. Halafu mara nyingi idadi ya viewers ambao sio members ni wengi kuliko members hivyo hawawezi ku-comment na wakati mwingine members hatumii PW yake kuingia kwenye mtandao huu. Nakubaliana na wewe replies zinatia moyo.....

Mwisho tusikatishane moyo kwa wale wanaorudia post za zamani au ambao post zinafanana kwani ikishapita siku tatu ni vigumu kuanza kusoma post zote kutokana na muda. Lakini ni vizuri member akielezwa kwamba imeshatoka kwa njia ya kistaarabu badala ya kubeza au sio???:hand:
 
Ndio maana yake, na ndio sababu utakuta majibu yanakuwa haaaaa, tehetee tehe, umenivunja mbavu, umefanya siku yangu nzuri nk. hivyo usivunjike moyo. Halafu mara nyingi idadi ya viewers ambao sio members ni wengi kuliko members hivyo hawawezi ku-comment na wakati mwingine members hatumii PW yake kuingia kwenye mtandao huu. Nakubaliana na wewe replies zinatia moyo.....<br />
<br />
Mwisho tusikatishane moyo kwa wale wanaorudia post za zamani au ambao post zinafanana kwani ikishapita siku tatu ni vigumu kuanza kusoma post zote kutokana na muda. Lakini ni vizuri member akielezwa kwamba imeshatoka kwa njia ya kistaarabu badala ya kubeza au sio???<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/hand.gif" border="0" alt="" title="Hand" smilieid="195" class="inlineimg" />

ni kweli kuna watu wanakatisha tamaa hasa kama kichekesho chako kiliwahi kuwekwa hapa. Sijui wanafikiri watu wote wana muda wa kusoma post za nyuma tangu jf imeanzishwa? Kichekesho hakina kiporo hata kama ulikisoma jana, leo ukikisoma utacheka tena kama kinachekesha.
 
ni kweli kuna watu wanakatisha tamaa hasa kama kichekesho chako kiliwahi kuwekwa hapa. Sijui wanafikiri watu wote wana muda wa kusoma post za nyuma tangu jf imeanzishwa? Kichekesho hakina kiporo hata kama ulikisoma jana, leo ukikisoma utacheka tena kama kinachekesha.

kweli inakatisha tamaa lkn kama alivyoongea mwenzangu kuwa mtu hawezi kujua kama hichi kilishawahi kuwekwa au bado thats why mm sidowload, sivitowi magazetini wala redioni. Pia sijawahi kupreview post zilizotangulia. Lkn kwa % nh karibu ya post zote zinakuwa na repliez kidogo, hivyo ndo niseme vyote vinarejewa? Labda ndiyo tuipe umuhimu hiso sababu hiyo ya wasiyo member kuview
 
hii ni jokes na sio hoja inayohitaji maoni, labda kama imekaa nizaini ya swali!!!
 
Back
Top Bottom