Vidonda vya koo vinanitesa

Vidonda vya koo vinanitesa

Tatzo sie Africans we adapt western culture for instance kunyonya sehm za kike, unaweza ukazani na sawa but sio tabia nzuri,ambae hajawahi kupata tatzo atakataa na atasema ni vzr ila kwa waliowahi kuonja ubaya wake hawawezi kurudia

Let us avoid western vulture which demolize our own betterment

Ushauri
Nenda hospital and tell them the reality of its background
we mpe ushauri apone huu siyo muda wa kulaumiana tatizo limeshatokea.
 
Natumai muwazima nyote,nimekuwa nikisumbuliwa na vidonda vya koo kwa mda wa miezi 4 nimejaribu dawa nyingi bila mafanikio na ilianza kama mafua lkn kwa naona vidonda vinazidi kutapakaa kwenye tissue ya koo naomba dr munisaidie,hospital nimenda lkn bado naumwa.
883d5df317ff0788fc639ff05536f1db.jpg
Aiseee changamka Kaka siku cancer zinaanzaga hivyo hadi zinatapakaa fanya haraka
 
Sidhani kama ndio sababu maana sijazama chumvini mda mrefu
Oky kumbe ulishawahi zama chumvini ila kwa hivi karibuni ndio hujazama....nenda hospital waeleze kuwa wew ulishawahi zama chumvin dawa yake ipo
 
Nadhani umetumia dawa isiyo sahihi ndio mana imechukua muda mrefu hivyo.
Ni vyema ukapimwa kwanza ili kujua sababu ndipo upewe tiba, haya madawa nayo ukila mengi unaweza jikuta unaongeza tatizo badala ya kutatua.
 
Nadhani umetumia dawa isiyo sahihi ndio mana imechukua muda mrefu hivyo.
Ni vyema ukapimwa kwanza ili kujua sababu ndipo upewe tiba, haya madawa nayo ukila mengi unaweza jikuta unaongeza tatizo badala ya kutatua.
Naelewa mkuu lkn yote nikatika hali yakutafuta Dawa itakayo nisaidia maana napata shida sana
 
Jaribu kutafuna kipande kidogo cha tangawizi kwa siku mara tatu asubuhi, mchana na usiku kabla ya kulala.

NB;hii ndiyo dawa ambayo huwa inaniponesha.
 
Huenda vidonda vyako vikawa ni maambuz ya virus bacteria au fangas
.
Kwa vinatokea kwa maambuz ya virus huwa vinapona vyenyew na havihitaj dawa zaid ya ant pain
.
Vinavyotokana na bacteria hv huwa severe na vinachkua mda sana kupona na vinahitajoli antibiotic ili vipone kabisa... Kutokuvitibu vikapona kabisa vinaweza kukusababishia shida kwny moyo (rheumatic heart disease)
.
Vinavyotokana na fangas ni Mara chache sana kutokea
.
Kuna ambavyo vinaanzishwa na fangas au virus lkn bacteria wanakuja kuvamia baadae na kufanya hali kuwa mbaya zaid
.
Kuwa na kiungulia mara kwa mara pia inaweza kusababshwa na ile tindikali ya tumbon inayopanda kooni
.
Dalili ya saratan ya koo inayoletwa na human papiloma virus wanaoambukizwa kwa njia ya kuzama sana chumvin na longterm smoking habit
.
Uzoefu wng unaniambia utakuwa na maambuz ya bacteria yaliozuka baada ya virus/fungas na kwakuwa umeshatumia dawa kadhaa pasipo mafanikio hvyo nakushauri utumie dawa zaid ya moja kwa muda usiopungua siku14
.
Antiseptic mouthwash d1-d14
Septrin d1-d14
Azithromycin 500mg d1-d7
Nystatin (p.o) d8-14
d=(day/siku)
.
Nina uhakika 90% utapona na usipopona nenda kwny hospitali yenye competent pathology laboratory wakuchkue sample wakapime
mkuu kulingana na maelezo yako hapo juu nimekusoma ila sijaelewa rational behind combination ya septrin + azithromycin ,sijui what do you target ?
 
Back
Top Bottom