Vidonda visivyo vya kawaida kwenye uume

Sikuliweka kwenye thread ila kama natunga sawa ndio demokrasia hiyo una uhuru huo mimi nilikuwa natafuta ushauri tu
mkuu kama umesema watoto walikuwa na upele, na wewe kama una vipele kwenye mapaja karibu sehemu za dushe na unajikuna sana. huo ugonjwa utakuwabni scabies.. ukiendelea kujikunakuna upele utasambaa sehemu nyingine za mwili..

dawa ni yakupaka inaitwa benzly benzoate imulsion (BBE) au tumia sabuni inaitwa tetmosol.. vilevile jitahidi usafi, usirudie rudie nguo mara mbili, mashuka na mataulo.
 
Nunua BBE au scaboma nadhani.. Pia kuna vidonge unatakiwa umeze. Io ni fungus imetokea pia inaweza kusababisha vipele visambae sehemu nyingine za mwili kama kwenye vidole na mapaja na mikononi pia.. BBE inawasha pia. Ni vizuri kupata dawa... From my experience usafi bila dawa ni kazi bure
 
Sio rahisi kupata msaada hapa kwa sababu maelezo yako hayatoshelezi. Nimeona umegusia issue ya wanao kuwashwa na kama wenzangu hapo juu walivyosema, huo ni ugonjwa wa scabies, japo nasita kusema ni scabies kwa sababu scabies haina vidonda kama vidonda, bali mtu hupata upele wenye uvimbe unaowasha.

Kama ni scabies, basi hizo ni parasites, na kawaida mtu huwa anawashwa sehemu walipoingilia. Kama dudu lako linawasha, nasikitika kwamba uliipata kwa njia ya ngono, na inawezekana wewe ndiye uliyeambukiza watoto kwa kuwagusa. Kama ni mara ya kwanza kuugua Scabies, maana yake hawa parasites wanaweza wakakaa kwenye mwili wako hadi mwezi kabla ya kuanza kuwashwa. Mara nyingi muwasho wa scabies huwa ni maradufu mida ya usiku.

Kama hujaipata kwa njia ya ngono basi mazingira ya hapo home kwako sio mazuri, maana yake ni pachafu.

Parasites wanaosababisha scabies ni wagumu kufa kwa sababu wana mayai mengi na mayai yao yana tabia ya kutulia mpaka wahisi kuna chakula ndiyo wajitokeze.

Kama una scabies kweli na familia pia wanawashwa, tafuta dawa ya kumeza inaitwa Ivermectin nadhani kidonge ni 8,000 na wanauza kutokana na uzito. Unaweza ukaambiwa utumie vidonge 6 au 7. Sasa hapo inabidi ununue kwa familia nzima lakini usiwape watoto chini ya miaka mitano. Lakini pia kuna dawa ya kupaka inayoitwa scaborma au Eurax Kwa maana hiyo unatumia vidonge na cream ya kupaka.

Kama hali sio nzuri kifedha, basi nunua mafuta ya nazi pamoja na mafuta ya mwarobaini. Changanya kwa ratio ya 0.5 kwa 1. Paka asubuhi na usiku baada ya kuoga wewe na familia nzima mpaka muwasho uishe kabisa na ikibidi endelea kupaka. Itabidi uvumilie harufu.

Unapokuwa unatumia dawa za scabies au mafuta ya mwarobaini, hakikisha mnafua mashuka na nguo zote na kuzianika juani. Usivae nguo uliyofua haraka. Fungia kwenye mfuko wa nailoni nguo au mashuka uliyoyafua na kukauka kwa siku saba ili wale parasites wafe kwa kukosa hewa. Hakikisha nguo zinachomwa na jua kisawasawa.
 
Unavaa kinga mara kwa mara ?
Mtumba bado mnavaa nakuna korona?
Boxer 3 elfu kumi na mbili mpya sasa mitumba ya nini?
Hiyo pia inachangia ila sana ni condoms
 
Ndio maana silali bila cd condoms sasa mpenzi wako aje yupo katika hiyo hali na hamtumii kinga siunawaza kifoo cha kujitakia?
Ila kiukweli situmiagi condoms za njee DUME tu ya kitanzania .
Haina muwasho wala nini ni nzuri hizi za njee ndio zinahayo magonjwa au ulienda kwa mchepuko mwenye ugonjwa
 
Hujaenda hosp alafu huna magonjwa ya zinaa

Mara huchepuki..kama mkeo ndio kakuletea??



anyway kama unajua unachepuka au mkeo mchepukaji

Azithromycin 1g kunywa mara moja tu


Acyclovir 400mg unywe kila baada ya masaa 8 kwa siku 10 tu

Choma Sindano ya Benzathine penicillin 2.4MU ... ( kila tako utachomwa 1.2MU) mara moja tu.


KAMA HUCHEPUKI NA MKEO HACHEPUK


Nunua ...." BBE" ..pakaa eneo lote liloathiriwa paka asubuh...Jion...... Inawasha lkn utapona.
Kaka management zako nimezielewa uko vzr
 
Nunua BBE au scaboma nadhani.. Pia kuna vidonge unatakiwa umeze. Io ni fungus imetokea pia inaweza kusababisha vipele visambae sehemu nyingine za mwili kama kwenye vidole na mapaja na mikononi pia.. BBE inawasha pia. Ni vizuri kupata dawa... From my experience usafi bila dawa ni kazi bure
Niliwai pia kupata tatizo kama hilo la kuwashwa kuanzia mapajani kushuka chini na pia uume kupata viupele. Nilienda hospital nikapewa dawa za allergy lakini azikunisaidia chochote

Nikaingia mtandaoni kutafuta dawa. Hatimaye nikakutana na hiyo dawa ya SCABOMA na niliitumia na nilipona kabisa. Ila hiyo dawa unavyoanza kujipaka inawasha hatari.
 
Tumiap hii
1622065220929.png
 
wazee wa boarding school watakumbuka wataalamu wetu wa bwenin walikuwa wanauita pumb_u diseases

Pole Mkuu.
 
Mkeo kaleta ugonjwa nyumbani. Mbebe mkapimwe hospital haraka sana. Pole kwa kupigiwa Mkuu.
 
Vipi imewahi kukupata? Tupe in briefly

Ngoja nkupe summary ya dalili hadi ugonjwa ipo hivi

Siku ya kwanza utahisi kama UTI yaani ukienda kojoa utahisi maumivu kama kitu kinachochoma hivi

Siku ya pili utaanza kuona viusaha au uchagu uchagu hapa mkuu unaweza juta kwanini binadamu anapata mkojo

Siku ya pili usiku wake utaanza kuumwa serious sasa

Siku ya tatu usaha of unaanza kutoka kwa matone yaani ukichungulia tu unaukuta nao unatoka, hapa kutembea inakuwa style ya aliyetoka tahiriwa huwezi tembea comfortable kabsa

Siku ya nne na kuendelea ni hivyo hivyo maumivu na usaha vinazidi advance

Iyo ni brief Mkuu, gono ukiipata hauchukui siku tatu lazima uone mapicha picha yake.
 
Kichwa kinajiekeza.

Ndugu zangu wiki mbili zilizopita nilijiona kitu cha tofauti kwenye kichwa cha uume wangu kwanza ulianza kama mwasho sana basi nikawa najikuna sana kadri nikijikuna nasikia raha, nikajua ni kawaida tu, then next three days nikawa napata kama michubuko kwenye kichwa tu nikajua labda ni mabadiliko madogo tu kwenye mwili.

Sasa kilichonifanya kuandika uzi huu nikaona vipele vinakuja mbele ya kichwa cha dudu sijajua chanzo ninini maana nimeoa na sijatoka nje ya ndoa. Imefanya nishindwe kufanya mapenzi na mke wangu kwa wiki tatu sasa.

Hospitali sikwenda ila nilienda pharmacy attendant akasema yawezekana mitumba tunayovaa nikaona sio sababu sahihi, kuna dawa nikapewa napaka sehemu zenye matatizo tu je yaweza kuwa ninini hasa wataalamu?

Magonjwa ya ngono sina kabisa
weka screen shot
 
Back
Top Bottom