mkuu kama umesema watoto walikuwa na upele, na wewe kama una vipele kwenye mapaja karibu sehemu za dushe na unajikuna sana. huo ugonjwa utakuwabni scabies.. ukiendelea kujikunakuna upele utasambaa sehemu nyingine za mwili..Sikuliweka kwenye thread ila kama natunga sawa ndio demokrasia hiyo una uhuru huo mimi nilikuwa natafuta ushauri tu
dawa ni yakupaka inaitwa benzly benzoate imulsion (BBE) au tumia sabuni inaitwa tetmosol.. vilevile jitahidi usafi, usirudie rudie nguo mara mbili, mashuka na mataulo.