M Mjanja M1 JF-Expert Member Oct 7, 2018 3,660 12,305 Feb 7, 2024 #1 Angalia hapa jinsi Waumini wanavyomwagiwa juisi zenye upako kutoka kwa Mchungaji. Your browser is not able to display this video. Nini maoni yako?
Angalia hapa jinsi Waumini wanavyomwagiwa juisi zenye upako kutoka kwa Mchungaji. Your browser is not able to display this video. Nini maoni yako?
Shadow7 JF-Expert Member Sep 28, 2020 13,800 20,210 Feb 7, 2024 #2 Mpaka kufikia 2050 tutajionea mengi sana
Mromboo JF-Expert Member Jan 25, 2012 2,928 6,467 Feb 7, 2024 #4 Ulokole ukikukolea vizuri huwa ni uendawazimu ulikithiri. Maana mwendawazimu wa kawaida hiyo juice atainywa na hawezi kuifanyia huo upuuzi
Ulokole ukikukolea vizuri huwa ni uendawazimu ulikithiri. Maana mwendawazimu wa kawaida hiyo juice atainywa na hawezi kuifanyia huo upuuzi
N Nyumisi JF-Expert Member Nov 10, 2010 13,405 19,069 Feb 7, 2024 #5 Tutafika mbinguni tukiwa hoi bin taaban...
Ushimen JF-Expert Member Oct 24, 2012 37,213 85,337 Feb 7, 2024 #7 Bora niendelee kubakia na dhambi za mwa J mwenye uti grade one
Nyonzo bin mvule JF-Expert Member Sep 19, 2020 2,167 6,102 Feb 11, 2024 #9 Mjanja M1 said: Angalia hapa jinsi Waumini wanavyomwagiwa juisi zenye upako kutoka kwa Mchungaji. View attachment 2897018 Nini maoni yako? Click to expand... Aione MK254 anaewachukia maustadh
Mjanja M1 said: Angalia hapa jinsi Waumini wanavyomwagiwa juisi zenye upako kutoka kwa Mchungaji. View attachment 2897018 Nini maoni yako? Click to expand... Aione MK254 anaewachukia maustadh
J John makonda JF-Expert Member Mar 13, 2021 211 187 Feb 11, 2024 #10 Ushirikina umeingia kanisani Wengi wanafata ramli takatifu