KAKADO
JF-Expert Member
- Nov 8, 2012
- 230
- 336
Watanzania nchini Sweden wameandaa hafla kumpokea Balozi mpya na aliyekuwa mgombea urais kwa mwaka 2010 kupitia CHADEMA ndugu Peter Wilbroad Slaa..hafla hiyo imehudhuriwa na watanzania kutoka miji mbalimbalI, lengo la kuandaa hafla ni kumpongeza balozi mteule vile vile wameahidi kutoa ushirikino kwa kupindi chote atakachokuwa balozi katika nchii hiyo.
Chini ni video ikimuonyesha Slaa akicheza mziki wa nyumbani.
Chini ni video ikimuonyesha Slaa akicheza mziki wa nyumbani.