bravo tpdf,ata mimi nakumbuka wanyaru walikuja na upuuzi mwingi eti jesh la waasi wanajua vita ya msituni. Je misitu imeisha ndio maana wameshindwa?rwanda alipeleka batalion 2, je zimezimikia wapi? Waamiaji wa kinyaru wamerudi na congo tumewakonoli
Yes ! Well done TPDF !!