Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,716
Ningekuwa mimi ni mwalimu mkuu
Nawasimamisha shule kwa muda usiojulikana.
washafukuzwa tayari.
Ningekuwa mimi ni mwalimu mkuu
Nawasimamisha shule kwa muda usiojulikana.
njoo whatsapp nikutumia npm namba yako
Waende wapi? Acheni ujinga hao ni watoto tu ni kiasi cha kuambiwa hayo mambo wasubiri hadi wawe watu wazima watainjoi hadi wachoke.washafukuzwa tayari.
Waende wapi? Acheni ujinga hao ni watoto tu ni kiasi cha kuambiwa hayo mambo wasubiri hadi wawe watu wazima watainjoi hadi wachoke.
Hapa walimu wao wameonyesha weakness ya hali ya juu!
Mnajua sisi ndiyo tunaharibu hawa watoto wamekosea sasa mnasambaza kila mahali jamani kwa nini msiifute tu!!
Waende wapi? Acheni ujinga hao ni watoto tu ni kiasi cha kuambiwa hayo mambo wasubiri hadi wawe watu wazima watainjoi hadi wachoke.
Hapa walimu wao wameonyesha weakness ya hali ya juu!
ACHA UKAUZU WEWE, NGOJA WADAU NASi TUONE KWANZA
binafsi nipo ktk group fulani hivi la whatsapp na nimeiona hiyo video,kwa kweli kama mzazi nimeumia sana ndugu zangu,inaumiza kwa kweli.
Si sahihi kwa wakati wao lakini kazi ya mwalimu/mzazi ni kumrekebisha mtoto. Pengine wamefanya kwa kutokujua kuwa si sahihi kwani hawakuwahi kufundishwa hivyowalichofanya ni sahihi??????
Nisaidieni wapi nitapata starter ya Mercedes Benz ML 270 CDI engine Diesel
Khaa!! Kwani utoto unaishia wapi? Unapokuwa na smart phone basi ushakuwa mtu mzima?? Mtu mzima ni yule ambaye hayuko chini ya himaya ya wazazi au walimu , yule ambaye anaishi kwa kanuni na sheria alizojiwekea. Kama wangekuwa watoto wako ungewaua? Halafu hata sijui kitu kimekuchosha hapoHivi mkuu wana utoto gani wale?
wamefanya kitu ambacho wanakijua vizuri..
kama ni watoto wasingekuwa na smartphone za kujirecodia
WAMEFANYA JAMBO AMBALO WANALIFAHAMU
NA MIMI NASEMA WAFUKUZWE TU, TUMECHOKA SASA