Mbona siiyoni hiyo video
Hii ni katika moja ya shule hapa Dar, hapo nadhani ni Aga-khan mzizima,nilisoma hapo some 10 years ago.., nazifahamu vilivyo hizo stair cases..
Mnajua sisi ndiyo tunaharibu hawa watoto wamekosea sasa mnasambaza kila mahali jamani kwa nini msiifute tu!!