FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 40,530
- 46,614
Hii ni katika moja ya shule hapa Dar, hapo nadhani ni Aga-khan mzizima,nilisoma hapo some 10 years ago.., nazifahamu vilivyo hizo stair cases..
Mimi ni John Malatuu wa aitiviiii.....
:A S embarassed::A S embarassed:
hapo mshua anatoka jasho posta kila siku na kugombania daladala afu toto lake la kike limeshikwa huku!!!!! bull shit....