Msalagambwe
JF-Expert Member
- Jul 11, 2012
- 713
- 263
Lissu asijisahau huyo bado ni Askari kauli za kujaribu mdhalilisha mbele ya umma zitamletea matatizo na hao watu....wanaishi kwa visasi
Zaidi ya matata haya aliyofanyiwa watamfanya nini?
Kuua?
Lissu asijisahau huyo bado ni Askari kauli za kujaribu mdhalilisha mbele ya umma zitamletea matatizo na hao watu....wanaishi kwa visasi
Wewe unamkumbusha Lissu sheria? Wakati mtu mwenyewe Oksijini yake ni sheria
Sheria za kikoloni na ni za kuidhalilisha MahakamaUkweli hii sheria ya kumuachia mtu halafu dk 5 baadaye anakamatwa ni kandamizi na inadhalilisha haifai.
huo ndo ule uoga wa kitanzania... sijui mmelogwaLissu asijisahau huyo bado ni Askari kauli za kujaribu mdhalilisha mbele ya umma zitamletea matatizo na hao watu....wanaishi kwa visasi
Polis wenyewe kwa wenyewe hawaeshimiani....na hawana nidhamu baina ya mkubwa na mdogoPembeni kuna ka POLISI kanachekacheka wakati mkubwa wake akikwamishwa na maswali
Siyo uoga ni laanahuo ndo ule uoga wa kitanzania... sijui mmelogwa
Tatizo.ameanza kukua akiwa na miaka40.......!Umeanza kukua
Kwani Wana kwenda kumpika si wata mleta hapo hapo tenaKelele nyingi mwisho wa siku polisi walichukuwa mtu wao ...Hahahahaha.....
Watanyooka tu maana hakuna nama nyingine.Inatakiwa wawe wanapigwa msasa wa masomo ya sheria kila baada ya miezi sita, wanafanya kazi kwa mazoea ila wengi sheria hawazijui, hao walikuwa wanajiuma uma tu.
Anatisha kama njaaLissu unatisha sana Baba