ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,906
- 6,909
Hakuna mamliki wa kuizuia nguvu ya umma. Peoplez power!!
kweli. kwani GADDAFF kaishia wapi?
sia alikuwa zaidi ya hawa magamba?
magamba yanafanikiwa kwa kuwa yamefanikiwa kuwapa elimu nzuri watanzania, hivyo wengi wetu tunaridhika na tulivyo kwani tukitolewa kwenye system, hatuwezi kukompete. ndicho kinacho wapa kiburi CCM walimu wakigoma na watumishi wengine wa umma