Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,832
- 218,516
Kwa sasa hakuna eneo ambalo wanachama na viongozi wa CHADEMA wanakamatwa kama kuku kama wanavyokamatwa wanachadema wa Tunduma, Kwa jinsi polisi inavyotumwa na CCM ndivyo inavyotekeleza bila hata kuchuja.
Wagombea kadhaa wa udiwani wa CHADEMA Akiwemo Meya wa halmashauri Mstahiki Ally Mwafongo wamekamatwa kwa kesi za kutengenezwa ili tu kuiwezesha CCM kushinda, hata hivyo kwa hatua ya sasa wananchi wa Tunduma wameamua kumshitakia Muumba wao ili atende atakavyoona inafaa.
Wagombea kadhaa wa udiwani wa CHADEMA Akiwemo Meya wa halmashauri Mstahiki Ally Mwafongo wamekamatwa kwa kesi za kutengenezwa ili tu kuiwezesha CCM kushinda, hata hivyo kwa hatua ya sasa wananchi wa Tunduma wameamua kumshitakia Muumba wao ili atende atakavyoona inafaa.