I see...kazi ipo! Kwahiyo Afisa Manunuzi hahusiki tena na manunuzi yote ya ujenzi kwa mwezi mzima? Vipi kuhusu kufuatwa kwa sheria na taratibu za manunuzi? Wakaguzi wajiandae kuona mambo hapo. Suluhisho ni kurekebisha sheria na kanuni za manunuzi kama zinakwamisha au kukwaza kasi ya utekelezaji wa miradi. Si kuadhibu wasimamizi wa sheria na kanuni halali zilizopo kwasasa.
Huyu mama kakurupuka...ujenzi wa serikali sio sawa na mtu binafsi...lazma ufuate utaratibu na viwango, tofali za serikali zinakuwa na ratio tofaut, vifaa karibu vyote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.