Nzelu za bwino
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 376
- 450
Good move
,HahaKwa cm na waziri?!
Kwn kwa yeye kuongea na biden mwenyewe direct shida ilikua gani?
Hapo Mbowe atanuna hata kula hata kula leoRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza kwa njia ya Simu na Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Mhe. Antony Blinken eo tarehe 06 Julai, 2021 Ikulu Jijini Dodoma.
Ambapo kwenye mazungumzo yao Waziri huyo amemhakikishia Mhe. Rais Samia kuwa Serikali ya Marekani itaendelea kukuza ushirikiano na Serikali ya Tanzania katika Nyanja mbalimbali za maendeleo.
View attachment 1843702
Hivi na huko Marekani napo wameripoti hii habari?
Wamarekani wenyewe wanajiona inferior kwa waingereza kwenye kupiga ung'en'ge, ni sawasawa na mkenya aongee kiswahili......British accent hoyeeeeee!Yes…yes…okay…yes…okay 🤣🤣
Hivi huyu Rais anaweza kweli kwenda pale Davos na kukaa jukwaani na kukata ishuz na akina Tony Blair na Mike Pompeo?
Thubutu!!
Na kwa bahati mbaya anarecodiwa akiwa anatikia tu kiasi nikahisi uenda ata mikata ya ajabu inayosaini wakiletewa wao wanaitikia tu ok mmmmhhHii tabia ya kumrekodi Rais halafu kila linalozungumzwa linawekwa hadharani naona ni ushamba, ningependa ofisa habari wa ikulu atoe taarifa ya maandishi baada ya mazungumzo kufanyika aseme walichokiongea na makubaliano waliyofikia, hilo kwangu linatosha.
Ata mikataba ya ajabu wanasaini kwa staili hiyohiyo maana wakiletewa wao wanaitikia tu okeeeeeeyyYes…yes…okay…yes…okay
Hivi huyu Rais anaweza kweli kwenda pale Davos na kukaa jukwaani na kukata ishuz na akina Tony Blair na Mike Pompeo?
Thubutu!!
Yawezekana aisee 🤣Ata mikataba ya ajabu wanasaini kwa staili hiyohiyo maana wakiletewa wao wanaitikia tu okeeeeeeyy
Mtangulizi wake ilikuwa zikipgwa simu kutoka ulaya alikuwa anamsakizia Humphrey polepole azipokee.Mama anaweza kuking'ata tofauti kabisa na mtangulizi wake
Wakati anapokea mnakuwa Wote?Mtangulizi wake ilikuwa zikipgwa simu kutoka ulaya alikuwa anamsakizia Humphrey polepole azipokee.
Mchato hata akina museven alikuwa anawanyari kutema nao yai.Yes…yes…okay…yes…okay 🤣🤣
Hivi huyu Rais anaweza kweli kwenda pale Davos na kukaa jukwaani na kukata ishuz na akina Tony Blair na Mike Pompeo?
Thubutu!!
Kutema yai ni shughuli pevu babu, mwendakuzimu zikipgwa cm nilkuwa namchora tu et anajifanya yuko bize anashikashika mafile.Wakati anapokea mnakuwa Wote?
Yeah right! You don’t know what you talking about!🤦🏾♂️Wamarekani wenyewe wanajiona inferior kwa waingereza kwenye kupiga ung'en'ge, ni sawasawa na mkenya aongee kiswahili......British accent hoyeeeeee!
Mtangulizi wake alikua anamtegemea Kabudi kwenye maswala yote ya kingereza.Mama anaweza kuking'ata tofauti kabisa na mtangulizi wake
Ndio uzuri wa kuwa na Rais anayejua kiingereza,sio ile kambale
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza kwa njia ya Simu na Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Mhe. Antony Blinken eo tarehe 06 Julai, 2021 Ikulu Jijini Dodoma.
Ambapo kwenye mazungumzo yao Waziri huyo amemhakikishia Mhe. Rais Samia kuwa Serikali ya Marekani itaendelea kukuza ushirikiano na Serikali ya Tanzania katika Nyanja mbalimbali za maendeleo.
View attachment 1843702
Pipo used to dai in ze leki, yes ofu coz.Mchato hata akina museven alikuwa anawanyari kutema nao yai.
Marekani hiyo ni ngumu, hii chance walikuwa nayo kina Mobutu tu. Viongozi wengine wote mpaka sasa hawana direct access na rais wa marekani.ni wachache mnoooKwa cm na waziri?!
Kwn kwa yeye kuongea na biden mwenyewe direct shida ilikua gani?