Video: Prof Muhongo adaiwa hela za Escrow

Video: Prof Muhongo adaiwa hela za Escrow

Yaani hata hujui unachoongea sasa,,, muongo hakutajwa na mengi bungeni,,, na mengi sio mbunge ila bunge ndilo limependekeza Muhongo achukuliwe hatua,, na hiyo tuhuma imefanyiwa kazi PAC,, PAC inatambulika kikatiba na kisheria na PAC imefanya kazi chini ya kiapo, pia kumbuka wajumbe wa hiyo PAC, 90% ni kutoka CCM na wapo mpaka kwenye NEC ya CCM sasa sijui MENGI na ROSTUM wameingiaje hapa??? ROSTUM anamiliki kampuni kubwa ya construction inaitwa CASPIAN na hii ni international company! inafanya kazi na makampuni makubwa duniani kama ACASSIA,PETRA DIAMOND, GOLDEN PRIDE, NA PIA HAWA WALIJENGA DUBAI TOWER,,, Mkuu acha porojo kaa kwenye maada...

Hizo kamati zote Mengi na Mkono walizinunua kupitia kwa Sendeka, Mengi kwa sasa ana mapesa kibao toka kwa Rostam baada ya kumsaidia kukwepa kodi na hayo mapesa yanatumika kumung'oa Muhongo, hizo kampuni za Rostam ni Matunda ya Kagoda EPA , Dowans na hisa za voda, Vitalu vya Gesi tu, ndivyo vimempelekea Mengi kubuni kila mbinu ili Muhongo ang'oke. Sipo nje ya maada kwani nimekupa picha kuwa Mratibu wa hizo Fitna ni Mengi na Mkono.
 
Video niya Musoma na hapo ni mtaa wa uhindini ambao prof Muongo ndio aliopo zomewa.

Chukizwa na kutokufuatwa kwa maazimio ya bunge, yangefuatwa muongo angekuwa amesha timuliwa siku nyingi.

Pesa iliamriwa kulipwa na mhakama mbona majaji hamuwaulizi maswali? Gavana na Waziri wa fedha ndivyo walilipa, Kampuni ilisajiliwa Wizara ya viwanda na biashara na Wizara ya nishati wao ni Watumiaji wa umeme tu pesa zilikuwa BOT. ! iweje Mengi amukomalie Muhongo pekeee? Vitalu vya Gesi vimemtoa Udenda Mengi.
 
Laiti Mengi angepewa Vitalu vya Gesi leo hii watu wangekuwa hawajui escrow, Si mmeona Rostam yeye alimpa Mabilioni baada ya kufanya madili kisha akatokomea pasipo kulipa kodi lakini Mengi alikaa kimya hadi leo
 
Laiti Mengi angepewa Vitalu vya Gesi leo hii watu wangekuwa hawajui escrow, Si mmeona Rostam yeye alimpa Mabilioni baada ya kufanya madili kisha akatokomea pasipo kulipa kodi lakini Mengi alikaa kimya hadi leo

Minyoo mwache Mengi apige kazi , usimzushie mambo utakosa Baraka ....
 
Hizo kamati zote Mengi na Mkono walizinunua kupitia kwa Sendeka, Mengi kwa sasa ana mapesa kibao toka kwa Rostam baada ya kumsaidia kukwepa kodi na hayo mapesa yanatumika kumung'oa Muhongo, hizo kampuni za Rostam ni Matunda ya Kagoda EPA , Dowans na hisa za voda, Vitalu vya Gesi tu, ndivyo vimempelekea Mengi kubuni kila mbinu ili Muhongo ang'oke. Sipo nje ya maada kwani nimekupa picha kuwa Mratibu wa hizo Fitna ni Mengi na Mkono.

Wewe Caspian ilikuwepo kabla ya epa, kagoda,,, caspian ilikuwepo toka utawala wa mwinyi na ilikuwa ikifanya vizuri,, ROSTUM hakupata hela kupitia kagoda,epa wala richmond... Jaribu kufuatilia historia kwa watu wa nzega na igunga wanamjua vizuri wapi katoa utajiri,, unaongea vitu vya kufikilika ambavyo siwezi kuviamini kwani havina ushahidi wa chombo chochote huru zaidi ya hizi porojo unazoleta humu,,, tukiachana nahayo yote hao woote unaowataja ni wanachama wa CCM,,,, Na hizo tuhuma zooote unazoleta humu zimetokea chini ya CCM na mmeshindwa kuchukua hatua sasa sijui unatuambiaje sisi ambao si wapiga kura wa CCM na CCM wenzio...
 
Kwa jinsi Mengi alivyobobea kwenye udalali hata ukifika bei kwa K Lynn anaweza akakuuzia.
 
Hizo kamati zote Mengi na Mkono walizinunua kupitia kwa Sendeka, Mengi kwa sasa ana mapesa kibao toka kwa Rostam baada ya kumsaidia kukwepa kodi na hayo mapesa yanatumika kumung'oa Muhongo, hizo kampuni za Rostam ni Matunda ya Kagoda EPA , Dowans na hisa za voda, Vitalu vya Gesi tu, ndivyo vimempelekea Mengi kubuni kila mbinu ili Muhongo ang'oke. Sipo nje ya maada kwani nimekupa picha kuwa Mratibu wa hizo Fitna ni Mengi na Mkono.

Rostam kajiuzulu nafasi zake za kisiasa ndani ya CCM ndo mnaanika uchafu wake,kipindi akiwa bado kiongozi mlikuwa mnamtetea kwa nguvu zote.
Hivi na huo uchafu mnaouanika kuhusi Mengi ndo kusema serikali yenu sikivu ya CCM haiuoni?
 
Back
Top Bottom