Video: Prof Muhongo adaiwa hela za Escrow

Video: Prof Muhongo adaiwa hela za Escrow

Kha! Huyo mwizi anaezomewa hadharani wewe ndio unamtetea,? au hujaingalia hiyo video. Kama wewe unamuona ni mdau wa maendeleo muajiri kwenye shamba lako.Hatua inayofuata sasa ni kurushikinyesi huyo MUONGO wako.

Sent from my SM-G800H using Tapatalk
Mengi anayehaha kumchafua Mhongo ni Mwizi kuliko mtanzania yeyote , Mengi halipi kodi, Aliifirisi NBC kisha akala njama wakachoma Ushahidi wote, Rostam kauza hisa zako za voda kwa Dola million 300 akamugawia Mengi akamsaidia kuhamisha hizo pesa pasipo kulipa kodi, Wafanyakazi wake Anawaibia kwa kuwalipa mishahara Mibovu, Vitalu vya Gesi tu vimemfanya Mengi anatumia Mabilioni kuwapa akina Sendeka na wenzao ili wamung'oe Mhongo, Mengi huwatumia vilema ( walemavu) kuomba misamaha ya kodi, Mengi hana cha bure wewe Ukiona anatoa misaada basi ujue nyuma kuna kitu anakiwinda, Huyo babu Mengi ni mtu Hatari kuliko unavyofikiri.
 
Niliwahi kusema wazi kuwa katika watu ambao hawanaakili pale chadema mohamed mtoi utakuwa unaongoza mda mwingi unautumia kupika majungu na umbea .

Ndiyo maana chadema waligundua pia hawajakupa nafasi ya maana kwenye chama wakijua kuwa wewe ni zero kuliko hata mbowe.
Cha Ajabu eti sakata linawahusu Majaji, Gavana, Waziri wa Fedha, waziri wa Viwanda na Biashara, mwanasheria Mkuu na Tanesco, Lakini huko Kote Mengi kakufumbia Macho kaamua kukomaa na Muhongo pekee, wengine hataki, huo ni Unafiki na chuki za wazi wazi.
 
Wakuu.

Hivi karibuni Prof Muhongo amekutana na nguvu ya umma Musoma mkoani Mara baada ya wananchi kujitokeza huku wakiimba "...tunaka hela zetu...".

Prof Muhongo ni waziri wa nishati na madini ambaye amewekwa kiporo kwenye sakata la ubadhirifu wa fedha za umma kupitia akaunti ya Tageta Escrow yenye ufisadi ambao umeitikisa CCM na nchi mwishoni kwa mwaka 2014.

Hivi karibuni amefanya ziara mkoani Mara ambayo inatafsirika kuwa ni dharau na kejeli kwa wananchi wa mkoa huo na Tanzania kwa ujumla hasa kutokana na kauli za mara kwa mara kuwa nchi inaongozwa kwa misingi ya utawala bora.

Zomea zomea hiyo ni muendelezo wa zomea zomea kadhaa ambapo imefika hatua gari au wafuasi na wanachama wa ccm wamekuwa wakipigiwa kelele za mwizi wanapopita kwenye maeneo mbalimbali wakiwa na sare au bendera za chama.

Angalia video clip uone nguvu ya umma ilivyo jikusanya na kuimba kudai hela zao.

Bofya hapa https://m.facebook.com/story.php?story_fbid=10204633415888386&id=1024755191&_rdr

Nguvu ya wahuni na walevi wasiojua hata maana ya mikataba ni nini.
 
Mkono + Mengi = Sendeka kisha gawanya kwa wengine Ans ni kuhakikisha Mhongo anang'oka kwa gharama yeyote ile.
 
Nguvu ya wahuni na walevi wasiojua hata maana ya mikataba ni nini.

Hiyo video si ya musoma illchukuliwa kwenye mikutano mingine ya Chadema kisha Vijana wa a Mengi na Mkono wameifanyia kazi.
 
Hatujaona ilikuwa musoma ya marangu au kishumundu yani wewe na uzee wote huo bado unazungumza uongo we mbugila kweli.


Duh inauma lakini meza tu sijui utakuwa wakike au wakiume ila vumilia uweze kupatiwa dozi upone
 
Pesa za escrow ni dola million 120 tu, na angalau Rugamalila kalipa kodi, Sasa tizama hizi ambazo zilihamishwa kwenda nje pasipo kulipa kodi kwa Msaada wa Regnal Mengi baada ya kupewa Mgao wake, Rostam aliuza Dowans kwa dola million 120 na kisha Serikali ikalipa fidia dola million 100, pia Huyo Huyo Rostam mshirika wa Mengi akauza hisa za Voda kwa Dola million 300 hakulipa kodi, jumla ya Pesa zote ni Dola million 520 ni Pesa nyingi na Laiti kodi ingelipwa Serikali wangepata pesa Nyingi kuliko hata hizo za escrow, Lakini Pesa ambayo ingelipwa Kodi Rostam alimpatia Mengi ili kumaliza Ugonvi wao na kumunyamazisha asitoe Siri, haya yote yamefanyika wakati Muhongo hajawa Waziri. Kwa wale Wanamwona Mengi ni MUNGU sasa waanzie hapa kumjua vyema.
 
Mtoi.. Never argue with stupid people,they will drag you down to their level and then beat you with experience..msg sent tayari
 
Last edited by a moderator:
Yan mleta mada unatufanya.si wapumbavu yuko wap prof.Muhongo hapo na bado mtamtengenezea clip nyingi.tu.JEMBE linaendelea kupiga.kazi.
 
Niliwahi kusema wazi kuwa katika watu ambao hawanaakili pale chadema mohamed mtoi utakuwa unaongoza mda mwingi unautumia kupika majungu na umbea .

Ndiyo maana chadema waligundua pia hawajakupa nafasi ya maana kwenye chama wakijua kuwa wewe ni zero kuliko hata mbowe.
Jibu mada iliyopo acha story, ni kweli aliambiwa arudishe hela au hakuambiwa? kama hujui kusoma hata kusikia?
 
Pesa za escrow ni dola million 120 tu, na angalau Rugamalila kalipa kodi, Sasa tizama hizi ambazo zilihamishwa kwenda nje pasipo kulipa kodi kwa Msaada wa Regnal Mengi baada ya kupewa Mgao wake, Rostam aliuza Dowans kwa dola million 120 na kisha Serikali ikalipa fidia dola million 100, pia Huyo Huyo Rostam mshirika wa Mengi akauza hisa za Voda kwa Dola million 300 hakulipa kodi, jumla ya Pesa zote ni Dola million 520 ni Pesa nyingi na Laiti kodi ingelipwa Serikali wangepata pesa Nyingi kuliko hata hizo za escrow, Lakini Pesa ambayo ingelipwa Kodi Rostam alimpatia Mengi ili kumaliza Ugonvi wao na kumunyamazisha asitoe Siri, haya yote yamefanyika wakati Muhongo hajawa Waziri. Kwa wale Wanamwona Mengi ni MUNGU sasa waanzie hapa kumjua vyema.
Evidence ziko wapi au hiyo post yako ndio ushahidi wenyewe, silly.
 
CCM ukweli unawauma.Kila mwenye akili anaelewa kuwa fedha za umma zimeliwa na Mi CCM mjepo unamshambulia bure mohamedmtoi ,yeye ni mjumbe tu.Tunasubiria Kiporo kisije kuchacha tupo makini sana kuliko mnavyofikiri.Majibu marahisi ya Escrow yatawapa wakati mgumu 2015.Mjiandae kisaikolojia

Rafiki acha kichache ndiyo kitamwagwa vizuri na kitakapokuwa kinatoa harufu basi hata mbwa hata kigusa.
 
Wakuu.

Hivi karibuni Prof Muhongo amekutana na nguvu ya umma Musoma mkoani Mara baada ya wananchi kujitokeza huku wakiimba "...tunaka hela zetu...".

Prof Muhongo ni waziri wa nishati na madini ambaye amewekwa kiporo kwenye sakata la ubadhirifu wa fedha za umma kupitia akaunti ya Tageta Escrow yenye ufisadi ambao umeitikisa CCM na nchi mwishoni kwa mwaka 2014.

Hivi karibuni amefanya ziara mkoani Mara ambayo inatafsirika kuwa ni dharau na kejeli kwa wananchi wa mkoa huo na Tanzania kwa ujumla hasa kutokana na kauli za mara kwa mara kuwa nchi inaongozwa kwa misingi ya utawala bora.

Zomea zomea hiyo ni muendelezo wa zomea zomea kadhaa ambapo imefika hatua gari au wafuasi na wanachama wa ccm wamekuwa wakipigiwa kelele za mwizi wanapopita kwenye maeneo mbalimbali wakiwa na sare au bendera za chama.

Angalia video clip uone nguvu ya umma ilivyo jikusanya na kuimba kudai hela zao.

Bofya hapa https://m.facebook.com/story.php?story_fbid=10204633415888386&id=1024755191&_rdr

Huo ni mwanzo mpaka mwezi wakumi watakuwa wamesha chizika kabisa
 
Mengi anayehaha kumchafua Mhongo ni Mwizi kuliko mtanzania yeyote , Mengi halipi kodi, Aliifirisi NBC kisha akala njama wakachoma Ushahidi wote, Rostam kauza hisa zako za voda kwa Dola million 300 akamugawia Mengi akamsaidia kuhamisha hizo pesa pasipo kulipa kodi, Wafanyakazi wake Anawaibia kwa kuwalipa mishahara Mibovu, Vitalu vya Gesi tu vimemfanya Mengi anatumia Mabilioni kuwapa akina Sendeka na wenzao ili wamung'oe Mhongo, Mengi huwatumia vilema ( walemavu) kuomba misamaha ya kodi, Mengi hana cha bure wewe Ukiona anatoa misaada basi ujue nyuma kuna kitu anakiwinda, Huyo babu Mengi ni mtu Hatari kuliko unavyofikiri.
Na anafanya haya yote chini ya Serikali inayoongozwa na CCM na wanamuangalia tuu.
 
Am in support of the protest against political leaders who have adopted a domineering attitude to their posts. it is against what we tearm as democracy which implies people are in control of what you are(position)
 
Raia wa musoma mjini wana hasira na Muhongo bahati yake siku hiyo alikimbia
 
yan mleta mada unatufanya.si wapumbavu yuko wap prof.muhongo hapo na bado mtamtengenezea clip nyingi.tu.jembe linaendelea kupiga.kazi.
niliwahi kusema hapa watu wakadhani natania,siku huyo muhongo alikuwa anakunywa uji mara dishes ilibidi akimbie na kuacha uji juu ya meza
 
Mbona jambo lipo wazi Muhongo alikimbizwa na umati na akaacha uji alikuwa anakunywa katika mgahawa wa Mara Dishes
 
Ha ha ha ha ha ha,huo uadilifu wa mtoi umetoka wapi mwambie akueleze bila kukuficha ile ishu inayomhusu yeye na martha dada ambaye ni katibu wa mbunge jimbo la kawe halafu uje kubisha au kusema ukweli.

Huu ni uhuni sasa. Achana na story za kuchafuana bila ushahidi.
 
Back
Top Bottom