Video: Obama aiponda demokrasia yetu

Video: Obama aiponda demokrasia yetu

Duuuuh! Ya lini hii? This is exactly what is happening in shitholes! Unawafunga watu midomo, unawapiga wapinzania risasi, unaiteka mahakama, kila kitu maagizo toka juu, no political rallies isipokuwa "mwana mpendwa", hutaki kusikia mawazo mbadala zaidi ya mapambio na sifa halafu unaita nchi ya kidemokrasia! Japo clip fupi, Obama kagonga nyundo za ukweli - tabia halisi ya watawala walio wengi Afrika na madikteta wengine huko.
 
Nimeipenda brief summary ya what democracy entails. Big up Obama!
 
Obama ametaja misingi ya demokrasia ambayo zaidi asilimia 99 imekiukwa Tanzania! Hili la kutangaza dunia nzima uchaguzi ujao utakuwa huru na wa haki ni mchezo mwengine wa kuigiza.
 
Anasema kushinda uchaguzi haimaanishi ndiyo mshindi kwa kura. Wengi Afrika wizi au rigging ndiyo msingi wa siasa za Afrika na wanawaambukiza hata first world kwa sasa ambapo unaona Tramp alishirikiana na Rassia kupoka uchaguzi kwa Hillari. Hata wakati wa Boush unaona Florida ilileta shida kwa kuwa ndipo walipopigia deal hadi kurudia kimaghumashi kuhesabu lakini wapi... Rigging sasa linakwenda kuwa janga la kimataifa. Lakini kwa kuwa presidential election akishashinda mtu inakuwa gentlemen club kwa kuwa wanafichiana wenyewe kwa wenyewe. Aibu sana.
 
Aende huko na yeye mwenyewe Muuwaji kama hao wengine au Zaidi.Hana jipya
 
Back
Top Bottom